Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 19,110
- 44,217
😂😂😂 Pengine alimshukuru mungu kwa kuamka
Labda aisee
😂😂😂 Pengine alimshukuru mungu kwa kuamka
Nilienda kupima magonjwa ya zinaa tu, ngoma ntapima tu japo sidhani km nilijikwaa maana nilipiga tako3 tuKwani ukiambukizwa ngoma usiku asubuhi ukichek utapata matokeo sahihi?
Kupiga fasta na malaya ni ngumu sana kupata ngoma, maana wanavilainishi vya kila aina halafu wana kila mbinu ya kukufanya umalize haraka. Kwao muda ni maliSasa huyo eti alilala na Malaya usiku asubuhi akapima akajikuta salama akamshukuru Mungu😁😁😁😁
Wapi nimeandika nilipima ngoma nikajikuta salama nikashukuru mungu, au umeamua kuniongezea sukari kwenye comment yangu😗Sasa huyo eti alilala na Malaya usiku asubuhi akapima akajikuta salama akamshukuru Mungu😁😁😁😁
Punguzeni ujuaji km hujaelewa unauliza, nimeandika "nilipiga na hiyo siku wife sikumlamba" maana ake nilipiga fasta alafu nikaenda kulala home😂😂😂 Pengine alimshukuru mungu kwa kuamka
Sasa ulipima Nini asubuhi?Yutiyai?Wapi nimeandika nilipima ngoma nikajikuta salama nikashukuru mungu, au umeamua kuniongezea sukari kwenye comment yangu😗
Kwa hiyo ulipima Nini sasa? gonorrhea?Kupiga fasta na malaya ni ngumu sana kupata ngoma, maana wanavilainishi vya kila aina halafu wana kila mbinu ya kukufanya umalize haraka. Kwao muda ni mali
pole utelezi ni mzuri lakini mh!Nilienda kupima magonjwa ya zinaa tu, ngoma ntapima tu japo sidhani km nilijikwaa maana nilipiga tako3 tu
Kuna siku nimetoka na mwanangu kwenye kazi fulani mida ya saa mbili usiku na ilikua jumapili ikaja wazo tupitie maeneo fulani kwaajili ya dinner ila kwa sharti moja.
(No alcohol) maana namjua jamaa yangu ni mlevi balaa
Kiichotokea niliamka na elf sita full hangover na kazini sikuenda halafu simu imejaa namba za malaya sijui nilichukua saa ngapi?
Hivi ugonjwa huonekana kwa mda wa saa ngapi?Sasa huyo eti alilala na Malaya usiku asubuhi akapima akajikuta salama akamshukuru Mungu
Wewe mhaya?unazingua ujue.
Naomba huo moyo wako.Sinaga tabia ya kujutia situation ambayo siwezi kuibadilisha,as long as nilifanya Kwa akili yangu bila kushurutishwa Huwa naweka tu mkakati sitaki nirudie Tena,ila nikae nasonona hapana kwakweli!
Sio njaa, wanawake wanakomoa tu sometimesNiliwahi jitutumua demu nikampelea mpka mbudya, na mbaya zaidi muda tunarudi gari ikakwanguliwa ubavuni na roli, then tunaagana hata kumla mate akagoma, nikajisemea hapa mkeka ushachanika!
Kwa haraka haraka nilipata hasara kama ya 400k
Siku hizi sifanyi huo ujinga,mademu wa mjini njaa kali sana, mtu anasema ana boyfriend date anakuja kufanya nini kama sio njaa tu!
🤣😂Eee yutiyaiSasa ulipima Nini asubuhi?Yutiyai?
Hiki kinyongo hakitamuacha salamaNiliwahi mtoa out demu tukapiga mitungi na mikasi sana, ile tusepe home mida ya saa7 demu anadai simu yake haioni.
Nikampotezea nikijua analeta drama ili anipige mzinga wa kumnunulia simu nyingine,maana ile ilikua imechoka sn.
Ile nafika kazini asubui polisi hawa hapa na yule demu nahitajika kituoni kwa kosa la wizi wa simu, nikawaelezea polisi jinsi ilivokua wakashauri tuyajenge.
Ikabidi nimlipe hela akachukue simu nyingine, maana sikutaka ishu iwe kubwa na ukizingatia ninafamilia.
Hiyo hela inaniuma mpk leo jumlisha gharama tulizotumbua hiyo usiku, kweli mademu hawana huruma.
Hii line ya mwishoNilienda kiwanja na 250k
Yani shetani huyu
Kuna mali flani ilikua kali balaa nyupee peee
Picha linaanza ikaja meza yetu hapo bado hata hatujaanza kuchafua meza anaomba ajoin hapo amekosa meza siku nyingine ukiwa umejiandaa kisaikolojia hamna anayekuja
Mara dakika 5 nyingi kumbe anawenzake wawili wapo wakali wakali kama yeye
Siku hiyo nimejipanga natulia tu sichukui mtu ndo ile shetani ikawa inashoboka balaa
Anakunywa heineken tu
Zilipukutika ukijumlisha na kulala naye ilibaki kama aftatu hiviafu ana makovu kama ambarute kwenye k yani substandard show kabisa
Anyway wanaume akili zetu tunazijua wenyewe
Humu watu wanapenda tu kukuza mambo, Golden fork zote 2 ya Mikocheni na Sinza bei zao ni za kawaida tu na chakula chao ni kizuri.Golden Fork sio mpya wewe ndio mpya mjini Afu bei za hapo sio kubwa, Afu menu ipo unajikuna unapoweza, vitu vingine hata aibu kulalamika.
Kawaida kwako ila kwake kaona gharamaHumu watu wanapenda tu kukuza mambo, Golden fork zote 2 ya Mikocheni na Sinza bei zao ni za kawaida tu na chakula chao ni kizuri.
Itakuwa Olay labda,Kama ni hiyo set ha portia hapo kakupiga sana bei ndio nayotumia mie
Its giving Tea vibe🤣🤣🤣Mbona vitu havibalance hapa?yaani simu Iphone ,halafu mtaji uji?how ??
Kwanini hiyo Hela ya Iphone isiwe ya mtaji halafu hiyo ya uji mnunue hata tecno?