Katkit
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 1,893
- 4,593
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale.
Kama title inavyosomeka hapo juu, hebu tueleze kipindi una miaka 10 uliweza kufanya kazi za nyumbni au ndo ulikuwa bado unashikiwa fimbo kwenye kula?
Binafsi katika umri huo nilikuwa tayari nimeshafundishwa kazi zote za nyumbani na Bi. Mkubwa, nilikuwa naweza kupika, kuosha vyombo, kufua, kufanya usafi wa nyumba, kupiga pasi na kama ningekuwa nimekulia kijijini basi hata kulima ningekuwa naweza kudadeki.
Nimeandika huu uzi kwasababu naona watoto wengi wa siku hizi wenye umri huo, hawawezi kufanya chochote zaidi ya kusoma na kucheza tu, imagine mtoto wa kike mwenye umri huo hawezi hata kuprocess chai!
THIS IS JOKE!!!! Mdogo angu wa mwisho yupo na miaka 11 sasa lakini hata kufua soksi zake za shule hawezi, kila kitu anamtegemea Bibi amfanyie.
Najua hata humu mpo wengi ambao kwenye age hiyo mlikuwa ni tegemezi kwa kila kitu pengine hata kujikojolea kitandani mlikuwa hamjaacha bado PUMBAVU ZENU.
Haya shusheni mapovu yenu hapa.👇👇👇👇👇
Kama title inavyosomeka hapo juu, hebu tueleze kipindi una miaka 10 uliweza kufanya kazi za nyumbni au ndo ulikuwa bado unashikiwa fimbo kwenye kula?
Binafsi katika umri huo nilikuwa tayari nimeshafundishwa kazi zote za nyumbani na Bi. Mkubwa, nilikuwa naweza kupika, kuosha vyombo, kufua, kufanya usafi wa nyumba, kupiga pasi na kama ningekuwa nimekulia kijijini basi hata kulima ningekuwa naweza kudadeki.
Nimeandika huu uzi kwasababu naona watoto wengi wa siku hizi wenye umri huo, hawawezi kufanya chochote zaidi ya kusoma na kucheza tu, imagine mtoto wa kike mwenye umri huo hawezi hata kuprocess chai!
THIS IS JOKE!!!! Mdogo angu wa mwisho yupo na miaka 11 sasa lakini hata kufua soksi zake za shule hawezi, kila kitu anamtegemea Bibi amfanyie.
Najua hata humu mpo wengi ambao kwenye age hiyo mlikuwa ni tegemezi kwa kila kitu pengine hata kujikojolea kitandani mlikuwa hamjaacha bado PUMBAVU ZENU.
Haya shusheni mapovu yenu hapa.👇👇👇👇👇