Head Gelo
Senior Member
- Oct 7, 2018
- 122
- 210
Wakuu habari zenu
Kwa wale wafanya biashara, mliofanikiwa kutoboa kimaisha hebu tupeane uzoefu yamkini stori yako inaweza kunitoa hatua moja kwenda nyingine.
Mbali na kuajiriwa mimi napenda sana biashara yani biashara ipo kwenye damu kiukweli ila suala la mtaji wa kuanzia hasa ukizingatia frem zimekuwa juu sana limekuwa changamoto kwani kuna majukumu mengine ambayo lazima nayo ufanye.
Alafu naona wafanya biashara ndo watu wanaotamba kimaisha (hali nzuri) , wasomi tumetupwa mbali si maprof si wale wa kawaida
Wale wafanya biashara tuambizane ulianzaje na ulipataje mtaji????
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale wafanya biashara, mliofanikiwa kutoboa kimaisha hebu tupeane uzoefu yamkini stori yako inaweza kunitoa hatua moja kwenda nyingine.
Mbali na kuajiriwa mimi napenda sana biashara yani biashara ipo kwenye damu kiukweli ila suala la mtaji wa kuanzia hasa ukizingatia frem zimekuwa juu sana limekuwa changamoto kwani kuna majukumu mengine ambayo lazima nayo ufanye.
Alafu naona wafanya biashara ndo watu wanaotamba kimaisha (hali nzuri) , wasomi tumetupwa mbali si maprof si wale wa kawaida
Wale wafanya biashara tuambizane ulianzaje na ulipataje mtaji????
Sent using Jamii Forums mobile app
