kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,368
Zamani nilikuwa napenda kama kuku bwenge, nikimpenda mwanamke nilikuwa sisikii wala kuona. Nilikuwa naomba msamaha kwa kosa ambalo sijafanya mimi ili kulinda upendo wangu. Nilikuwa masta wa kuonga sana, lakini pamoja na kupenda hivyo sikuwahi kumpata mwanamke ambaye alikuja kunipenda na kunijali kama huyu ex valantine wangu.
Huyu alinipenda na kunijali sana, na toka tuachane sasa hivi tuna miaka 3. Cha kusikitisha toka tuachane nimekuwa mwanaume ambaye nina mapenzi ya uongo kwa wanawake wengine. Yaani nimejikuta sipendi tena kwa dhati. Ninajaribu kujilazimisha kupenda moyo unakataa.
Sijui wenzangu hali hii inawapata na ninyi pale mnapo tengana na wapenzi wenu ambao mliwapenda kwa dhati?
Kama ndiyo, mlipambanaje na hali hii mpaka kuja kwenye hali yenu ya kawaida?
Huyu alinipenda na kunijali sana, na toka tuachane sasa hivi tuna miaka 3. Cha kusikitisha toka tuachane nimekuwa mwanaume ambaye nina mapenzi ya uongo kwa wanawake wengine. Yaani nimejikuta sipendi tena kwa dhati. Ninajaribu kujilazimisha kupenda moyo unakataa.
Sijui wenzangu hali hii inawapata na ninyi pale mnapo tengana na wapenzi wenu ambao mliwapenda kwa dhati?
Kama ndiyo, mlipambanaje na hali hii mpaka kuja kwenye hali yenu ya kawaida?