Makampuni makubwa mengi hayalipi kodi na kama wanalipa haizidi 20% ya kiwango wanachopasya kulipa,mfano mzuri ni makampuni ya simu,madini,na viwanda vya Mohamend ent,Zakari na wengine hawa wanashinda kwenye corridor za TRA kuomba misamaha pia na kutoa fake decrelations fake kukwepa kodi.