Kampuni mbalimbali zinazofanya biashara tofautitofaut kwel zinalipa kodi kulingana na kile wanachopata? Nahamasika kulizungumzia hili suala kwa kuwa tuna utitir wa makampun hapa Tanzania lakin nina wasiwasi na ulipaj wao wa kodi. Naomba wadau mnielimishe zaidi juu ya hili suala.