Sajenti achilia mbali gari kuzimika mara mbili; Taarifa zinasema kuwa gari hiyo ambayo rais alilazimika kushuka baadaye ilichomoka Tairi! Na kama vile kuthibitisha kukosekana umakini wa walinzi wake, ilielezwa Raisi allilazimika kulowa na mvua alipokuwa akielekea katika gari nyingine.
Mi nadhani nchi sasa tumefikia mahali ambapo hakuna tena mambo ya muhimu...kila kitu ni cha kawaida tu