Hivi hawa si ndo nguchiro?, mara ya kwanza nawaona hao wapuuzi, ilikuwa morogoro. Naendesha baiskeli, mara nikaona kundi la wadudu kama panya wanakimbia. Kidogo waka simama mbele wakasimamia miguu. Nilihisi nimeona mashetani. Ilikuwa nipo speed ila baiskeli iliweza lala chini, nikarudi nilipotoka