Ulimwengu wa introverts na suala zima la mahusiano

Here we go again. Nyuzi za introverts zipo kibao hapa jukwani mnajaza servers za JF bure tu.

Kila mtu ni introverts siku hizi extroverts wote wamepotea hawapo tena dunia ya leo.



Wewe ndo una uchungu sana na hizo server za Jamii forum?...umechangia nini mpaka Sasa kwenye hizo server za Jamii forum kifaida?. NB..hatupangiwi namna ya kuishi
 
Binafsi naweza kua na demu mtaan na washkaji wasijue na hata ikitokea wanamuongelea nakua kimya tu.. sometimes anaweza pita washkaji wanaanza kujitanua kwake kumzingua mie kimya tu😊😊
 
Mara nyingi extrovets inashabihiana na tabia za kike kike...kuongeaongea na kuwa muwazi bila hata kuulizwa.....na Introvets ni tabia ya kiume zaidi na ndyo maana ya kupewa koromeo....unayahifadhi na kufafanyia kazi ndani yako.....ila kitaalam wale ambao ni Ambivert ni bora zaidi ....na wale ambao ni Omnivet ni balaa kabisa hawafai.
 
Karibu sana ...
Tutafute namna ya kutatua matatizo yetu na ku move to a better place
Namna pekee ya kukabiliana na hali ya introvet ni kuwa Ambivert ...thats it...Nashukuru Mungu mimi ni Ambivert kwa hiyo niko applicable pande zote mbili
 
Mara nyingi extrovets inashabihiana na tabia za kike kike...kuongeaongea na kuwa muwazi bila hata kuulizwa.....na Introvets ni tabia ya kiume zaidi na ndyo maana ya kupewa koromeo....unayahifadhi na kufafanyia kazi ndani yako.....ila kitaalam wale ambao ni Ambivert ni bora zaidi ....na wale ambao ni Omnivet ni balaa kabisa hawafai.
Ambivert nawafahamu wapo able ku switch to either side of extrovert and introvert...omnivert ndo wanakuwaje mkuu?
 
Kwaufupi hamna cha introvert wala nn

Wengi wenu mnajistukiaa tu +madome zege .

Akiwa demu anakua hajiamin kwa mwonekano wa umbo nahata sura yake.


Akiwa Me pia, anakua hajiamin. Hana pesa ,labda kazi bado. Hajiamin kiumuonekane n.k



SASA MNAKUJA KUSINGIZIA INTUROVETI.....HAMNA CHA UINTUTOVETI WALA CHA BIBI YAKE

NIHAYO TU

Exactly mkuu. Hii kila mtu kujinasibisha na introversion ni trend kama ilivyokua kunyoa kiduku, kuvaa model nk

Sahizi ni sifa kila mtu kujiona eti yeye ni introvert kumbe hali mbaya teh teh teh. Ghafla watu ambao walikua life of the party or extroverts wamepotea kabisa. Hakuna hata mmoja anakiri kuwa extrovert, isn't that something?

Kwenye ulimwengu ambao kila mtu anajiona yeye ni special basi hakuna uspecial wowote.

Vijana watafute hela wataacha huu uzwazwa wakuchukulia mambo ya hovyo seriously ya introversion na zodiac signs.
 
Exactly mkuu. Hii kila mtu kujinasibisha na introversion ni trend kama ilivyokua kunyoa kiduku, kuvaa model nk

Sahizi ni sifa kila mtu kujiona eti yeye ni introvert kumbe hali mbaya teh teh teh. Ghafla watu ambao walikua life of the party or extroverts wamepotea kabisa. Hakuna hata mmoja anakiri kuwa extrovert, isn't that something?

Kwenye ulimwengu ambao kila mtu anajiona yeye ni special basi hakuna uspecial wowote.

Vijana watafute hela wataacha huu uzwazwa wakuchukulia mambo ya hovyo seriously ya introversion na zodiac signs.
Extrovert was never a sign of disorder or abnormality , disorder zipo nyingi sana , this applies to AUTISM SPECTRUM DISORDERS , ATTENTIVE DEFICIENCY HYPERACTIVITY DISORDER , BORDERLINE PERSONALITY , DARK TRIAD PERSONALITY , NARCISSISM ....many to count unayajua hizo disorder zote au umekariri introvert na extrovert??????
 
Extrovert was never a sign of disorder or abnormality , disorder zipo nyingi sana , this applies to AUTISM SPECTRUM DISORDERS , ATTENTIVE DEFICIENCY HYPERACTIVITY DISORDER , BORDERLINE PERSONALITY , DARK TRIAD PERSONALITY , NARCISSISM ....many to count unayajua hizo disorder zote au umekariri introvert na extrovert??????

You're preaching to the choir. I can add a few more to that list and there traits.

ADHD - Ain't no Dad at Home Disorder. Go figure kwanini inaitwa hivyo na kwanini kila mtoto mweusi anapewa bila hata diagnosis.

Again haya mambo mnaona sifa ila ni uzwazwa. Tafuteni hela mtaachana na huu utopolo na utopolo wa zodiac signs.

Huoni ajabu extroverts are non existent nowadays? Kila mtu kawa introvert teh teh teh.
 
You're preaching to the choir. I can add a few more to that list and there traits.

ADHD - Ain't no Dad at Home Disorder. Go figure kwanini inaitwa hivyo na kwanini kila mtoto mweusi anapewa bila hata diagnosis.

Again haya mambo mnaona sifa ila ni uzwazwa. Tafuteni hela mtaachana na huu utopolo na utopolo wa zodiac signs.

Huoni ajabu extroverts are non existent nowadays? Kila mtu kawa introvert teh teh teh.
I'm not here to argue with anyone..kama wewe unaona hayakuhusu hujalazimishwa kuchangia
Kwahiyo umeona introverts ndo hawana Hela au wanalalamikaga hawapati Hela ..
Acha kukaza fuvu na kujikuta unajua sana
 
Hakuna maisha mazuri kama haya ,unaishi kwa raha sana ,unajiongelesha mwenyewe na kujijibu ,na hakuna kitu nachukia kama kua na girlfriend au mpenzi sjui ,i hate having any kind of sexual relationship
wengine ni introvent...ila katika kipengele kinanishinda ni sex mimi kila siku .had najichukia dem akiwa mbali nateseka sana sana.natamani niwe kama ww ila nashindwa najiona sijakamilika mpaka niwe na demu.
 
Kwaiyo wazungu wote Ni introvert Mana hawanaga mambo za kusocialize kiivo,, na mda mwingi wapo silent, nadhani Ni katika kutafakari kuwaza Maendeleo sijui? , so wote Ni introvert?
Wabongo wengi tunaongea Sana, na tunaona ndio sifa na ndio ujuaji huo,, Kuongea tunakupa kipaumbele Sana kuliko kazi,, hata Kama tunachokiongea hakina maana, "Afrikans talk much" hapo ndo ilipo changamoto"
Unachokiongea kinamaana kubwa Sana kwenye maisha yako.
 
Habarini Wana Jamii forum.

Siku ya leo nimeona nijikite katika kutoa ya moyoni , kubwa zaidi ntaangazia kundi la watu ambao hujulikana kama introvert na mahusiano ambayo hujihusisha na namna zake.

Kwa kuanza kabisa mimi ni introvert wa kutupwa , linapofika swala la mahusiano kwa kweli sinaga vitu vingi vya kuongea na marafiki zangu wengi wamekuwa wakiniambia Mimi ni msiri sana hivyo kutoweza kuwaambia wenzangu mtu ambae nipo nae kwenye mahusiano

Hivyo katika muda mwingi nikikaa na kufikiria kuhusiana na suala zima la mahusiano Huwa nahisi kama sipo serious kabisa hii kutokana na kutoyapa kipaumbele sifahamu , lakini katika suala zima la kuchagua partner ambaye nahisi anaweza kunifaa katika mahusiano ni changamoto kubwa , sio kwamba Sina uwezo wa kuwatongoza hapana , ni kutokana na nilivo kuwa na uwezo wa kuswitch kwenye kuongea sana na utani mwingi ila mda mwingi nipo kimya hasa one to one engagement

Pia hata kama nikipata mtu ambae naweza Anza nae mahusiano basi hatutafika mbali kwa sababu Mimi Huwa natumia mda mwingi kufanya reasoning na logic napenda sana hivyo naweza detect kama Kuna kitu hakipo sawa hivo kushusha emotions kupelekea ku lower relationship stability

Hivyo kutokana na suala la introverts katika dunia yetu ni mtihan katika swala la socialization nikaona tupeana tips au changamoto ambazo tunakumbana nazo katika maisha ya Kila siku
CHANGAMOTO GANI KUBWA AMBAZO WATU WA AINA HII TUNA KUTANANAZO ? NI VIZURI KUZIJUA HILI KUEPUKANA NAZO

Karibuni wana introverts wenzangu na wengine pia mnaruhusiwa hatujawatenga ...nawasilisha

Kwa wale ambao wanapenda kujisomea vitabu ...Kuna mwandishi mmoja wa marekani anaitwa SUSAN CAIN yeye anafahamika zaidi kwa kuandika kitabu kuhusiana na INTROVERSION EXPERIENCE ambacho kimewafunua watu wengi sana katika dunia yetu ya leo ...
Hiki kitabu kinaitwa THE POWER OF INTROVERT IN A WORLD THAT CAN'T STOP TALKING
yeye anakuwa Moja kati ya waandishi wa mwanzo kabisa kuandika kuhusiana na field ya introverts au personality disorder
View attachment 1952959
View attachment 1952968View attachment 1952972
View attachment 1952998
Haa yan Mimi sjui niseme nini ila mm hua sitamani mahusiano kwa sababu moja tu mimi ni mdhaifu sana na kiuhalisia ninaishi maisha ya amani nikiwa single ila nikiwa na mahusiano ndugu sina amani
 
Mimi ni introvert halafu nina kigugumizi kikali. Tone yangu ya uongeaji haifurahishi masikioni mwa watu. Nimeachana na wanawake wengi kwa sababu ya hilo. Jambo hilo limepelekea nikose raha, nahisi nina depression au inferioty complex, so sad . Uintrovert na kigugumizi vimenikosesha mazuri mengi sana.
Kwasababu ya uintrovert, sipati mademu wakali, napata wanawake waliochoka, walevi, wagonjwa wa akili, wazee au walemavu , mademu wazuri wenye akili zao wananiona kama mwehu ninapowatongoza, dah!, uintrovert wangu umezidi.
Kwasababu ya uintrovert, nina vita vya kujihukumu kwamba kila ninachofanya nakosea, personal conflict.
Daaaaah! Mzee una issue nzito sana.?
 
Mimi ni introvert halafu nina kigugumizi kikali. Tone yangu ya uongeaji haifurahishi masikioni mwa watu. Nimeachana na wanawake wengi kwa sababu ya hilo. Jambo hilo limepelekea nikose raha, nahisi nina depression au inferioty complex, so sad . Uintrovert na kigugumizi vimenikosesha mazuri mengi sana.
Kwasababu ya uintrovert, sipati mademu wakali, napata wanawake waliochoka, walevi, wagonjwa wa akili, wazee au walemavu , mademu wazuri wenye akili zao wananiona kama mwehu ninapowatongoza, dah!, uintrovert wangu umezidi.
Kwasababu ya uintrovert, nina vita vya kujihukumu kwamba kila ninachofanya nakosea, personal conflict.
Ya kweli hayo?
 
Mimi ni introvert halafu nina kigugumizi kikali. Tone yangu ya uongeaji haifurahishi masikioni mwa watu. Nimeachana na wanawake wengi kwa sababu ya hilo. Jambo hilo limepelekea nikose raha, nahisi nina depression au inferioty complex, so sad . Uintrovert na kigugumizi vimenikosesha mazuri mengi sana.
Kwasababu ya uintrovert, sipati mademu wakali, napata wanawake waliochoka, walevi, wagonjwa wa akili, wazee au walemavu , mademu wazuri wenye akili zao wananiona kama mwehu ninapowatongoza, dah!, uintrovert wangu umezidi.
Kwasababu ya uintrovert, nina vita vya kujihukumu kwamba kila ninachofanya nakosea, personal conflict.
Unasoma?
 
Mimi ni introvert halafu nina kigugumizi kikali. Tone yangu ya uongeaji haifurahishi masikioni mwa watu. Nimeachana na wanawake wengi kwa sababu ya hilo. Jambo hilo limepelekea nikose raha, nahisi nina depression au inferioty complex, so sad . Uintrovert na kigugumizi vimenikosesha mazuri mengi sana.
Kwasababu ya uintrovert, sipati mademu wakali, napata wanawake waliochoka, walevi, wagonjwa wa akili, wazee au walemavu , mademu wazuri wenye akili zao wananiona kama mwehu ninapowatongoza, dah!, uintrovert wangu umezidi.
Kwasababu ya uintrovert, nina vita vya kujihukumu kwamba kila ninachofanya nakosea, personal conflict.
Acha woga ysitongoze tafuta hela utatongozwa na mademu wakaliiii
 
Back
Top Bottom