top movies back on eutelsat 7w,sasa unaweza kuipata top movies chanel maarufu na yenye movie za ukweli ktk eutelsat7w.waliifunga kwa muda mrefu lakini sasa naona wameiachia.pia ziko chanel nyingi sana zaidi ya hiyo 10873 v 27500 Eutelsat 7 West A at 7.3°W - LyngSat
Wanajamvi, npeni soln ya hili tatzo. Decoder yangu ya Azam ilimwagikiwa maji so baadaye ikapoteza signal, nilijaribu kuikausha kwa kutumia bulb lakin bado haina signal, ila inasoma flash na kuplay, inaruhu kuscan na edit. Nifanyeje zaidi msaada plz
Wadau naombeni ujuzi ya kuweza ipata Eutelsat 10A at 10.0°E .C band shida yangu kubwa ni Kbc na K24!! na hapo hapo Eutelsat 10A at 10.0°E Ku napataje Zimbotv?
Kuna mtu alipost huku kua ukiwa na amos 5 unaweza pia kupata eutelsat 16E, naombeni mwongozo nafanyeje hapo ili niipate?,,, frequency, transponder n.k,
Kuna mtu alipost huku kua ukiwa na amos 5 unaweza pia kupata eutelsat 16E, naombeni mwongozo nafanyeje hapo ili niipate?,,, frequency, transponder n.k,
Hajachanganya hapo amos5 ipo nyuzi 17e na eutelsat16e sasa hapo ukibalansi vizur unazipata zote ila hiyo 16e inapatikana baadhi tu ya maeneo kwa hapa tz
Kuna mtu alipost huku kua ukiwa na amos 5 unaweza pia kupata eutelsat 16E, naombeni mwongozo nafanyeje hapo ili niipate?,,, frequency, transponder n.k,