Hata mimi nilikuwa natafuta za Infinity nikashangaa za startv ndo zinaingia.Naona labda infinity wamehama.Ila hii frequency ina nguvu sana hakuna tatizo la signal kabisa.
Hata mimi kwangu nilikuwa napata channel zote za continental kupitia dish dogo na rcv ya mpeg4 lakini naona zimekata inanibidi nirudishe dishi kubwa maana tamthilia ndo ugonjwa wangu.
Hata mimi kwangu nilikuwa napata channel zote za continental kupitia dish dogo na rcv ya mpeg4 lakini naona zimekata inanibidi nirudishe dishi kubwa maana tamthilia ndo ugonjwa wangu.
continental tena wamerudisha freq ya zamani.kwa wale wa amos5 10973 v 30000 blindscan and enjoy. vilevile hapohapo amos5 kuna chanel mpya ya wasabato morningstar tv 12418 v 30000 blindscan and relax
continental tena wamerudisha freq ya zamani.kwa wale wa amos5 10973 v 30000 blindscan and enjoy. vilevile hapohapo amos5 kuna chanel mpya ya wasabato morningstar tv 12418 v 30000 blindscan and relax