nimeweza kupata eut 36,nss12 c and ku,intelsat 902,904,906, intelsat 68.5 c and ku, apstar na thaicom je kwa upande huu wa mashariki imebaki ipi inayoweza kupotikana upande wa mashariki?
Mbona unakata tamaa kirahisi hivo??? Wiki mbili tu manyanga chini !!! Mwenzio nilispend karibu miezi 3 kuipata nilesat ,sometimes unaweza ukawa unatumia wrong tools ku hunt ...
By the way weka.location yako nijue......
Mbona unakata tamaa kirahisi hivo??? Wiki mbili tu manyanga chini !!! Mwenzio nilispend karibu miezi 3 kuipata nilesat ,sometimes unaweza ukawa unatumia wrong tools ku hunt ...
By the way weka.location yako nijue......
sijui ni astrovox gani ulio nayo ila kama ni strong utaipata east pale kwa local channels ziangalie sky au west ila west unahitaji dish kubwa mtuko2@gmail.com +254721217408
Sijakupata unaposema pale unaposema unapopata local! Unaweka ku au, na ni bure au unalipia? nielekeze vizuri ikiwezekana naomba freq na symborate nizitafute