Kwamimi navyo fahamu kuna kadi zilizo olewa na ambazo Azijaolewa iyo ya abudhabi imeolea n kwaajili ya dkoda yake 2 ya humax co kwingine Aljazeeraspot ndo haijaolewa
Kwamimi navyo fahamu kuna kadi zilizo olewa na ambazo Azijaolewa iyo ya abudhabi imeolea n kwaajili ya dkoda yake 2 ya humax co kwingine Aljazeeraspot ndo haijaolewa
Katika pitapta zangu hum ndan ya jf nimekutana na we ukielezea juu ya Zuku.Swali langu ni kujua hizo channel ni kwa recver ya Zuku yenyewe au recver tofauti? tupe maujanja hayo mkubwa.
Katika pitapta zangu hum ndan ya jf nimekutana na we ukielezea juu ya Zuku.Swali langu ni kujua hizo channel ni kwa recver ya Zuku yenyewe au recver tofauti? tupe maujanja hayo mkubwa.