Unamaanisha nini recva maalum.Na labda nikinunua hiyo Mpeg 4 nikaendelea kutumia harafu kama nahitaji hizo za ziada baadae ninampango wakwenda moro ila ni mwez wa 6 mwakan nikamtafuta akaniongezea mautundu hayo.Mi nipo Biharamulo Kagera.
Unamaanisha nini recva maalum.Na labda nikinunua hiyo Mpeg 4 nikaendelea kutumia harafu kama nahitaji hizo za ziada baadae ninampango wakwenda moro ila ni mwez wa 6 mwakan nikamtafuta akaniongezea mautundu hayo.Mi nipo Biharamulo Kagera.
vip g6? n kwanin hao strong wanakuwa na matoleo mengi hvyo mi hcho ndo nischokipenda kwa strong wanaleta confusion na matoleo yao mengi. ni uzur upi wa strong dhid ya g61
vip g6? n kwanin hao strong wanakuwa na matoleo mengi hvyo mi hcho ndo nischokipenda kwa strong wanaleta confusion na matoleo yao mengi. ni uzur upi wa strong dhid ya g61
kwa m2miaji wa kawaida hawezi ona tofauti lakini kwa advanced user ataipenda. Ukitoa account g6 ni ya kawaida kabisa. Specs zake hazitii mguu kwa srt4922/4950
kwa m2miaji wa kawaida hawezi ona tofauti lakini kwa advanced user ataipenda. Ukitoa account g6 ni ya kawaida kabisa. Specs zake hazitii mguu kwa srt4922/4950
Sasa kaka kwa sisi tunaoishi kwa kutumia sola namaanisha ambako 3g nitatizo ilitupate chanel nyingi kwakutumia C na KU - BAND LNB recver gan zinatufaa ili kupata chanel kama Q tv,Kbc nanyingine?
Sasa kaka kwa sisi tunaoishi kwa kutumia sola namaanisha ambako 3g nitatizo ilitupate chanel nyingi kwakutumia C na KU - BAND LNB recver gan zinatufaa ili kupata chanel kama Q tv,Kbc nanyingine?