Kwa kutumia dish hili LA 6ft kama sijakosea na kama utakuwa na receiver yenye mfumo wa powervu utapata utapata EPL na uefa, kupitia nss12, local utapata ITV,eatv,channel ten,capital, startv,TBC,sibuka,tv1, kupitia intelsat64 na ab2 75e, utapata za move kupitia 68.5 na za habari zitakuwa kibao kama aljazeera,sky news, nhk,cgtn, na zingine itategemea uwezo wa fundi kufanya combination