Ulimtia Mimba Mwanafunzi, Ukafungwa Miaka 30 umetoka jera, Unaambiwa mimba iliharibika! Ungefanyeje?

Ulimtia Mimba Mwanafunzi, Ukafungwa Miaka 30 umetoka jera, Unaambiwa mimba iliharibika! Ungefanyeje?

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
557
Reaction score
1,544
Kwa mfano imetokea wewe kijana umefungwa kwa kumtia mimba mwanafunzi. Miaka 30 baadaye, ukarejea na kukutana na ukweli mchungu ambao hukutarajia.

📜
Kwa mfano, wewe ni kijana wa kiume na katika harakati za hapa na pale katika ujana wako, ukajikuta unamtia mimba mwanafunzi wa shule. Kwa kosa hilo la kisheria, ukahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.

Miaka imepita, maisha yakabadilika. Baada ya kutumikia kifungo chako, unarudi uraiani ni mtu mzima sasa hapo unasogelea miaka 49 ila unajipa matumaini kwamba yule mtoto sasa ni mkubwa umejipa matumaini hayo na ukapiga moyo konde na kuanza upya. Katika kumbukumbu zako, bado unamkumbuka yule msichana uliyetia mimba. Moyo wako unakuambia kuna mtu wako duniani—labda mtoto wako.

Unachukua hatua ya kumtafuta. Yule mwanafunzi aliyesababisha uende jela miaka, bahati nzuri mnaona sasa ni mwanamke mzima, ana watoto watano, maisha yanaonekana kuendelea vizuri kwake.

Kwa hisia mchanganyiko, unaamua kumuuliza:

"Katika hawa watoto watano, ni yupi ni mwanangu ambae nilifanya makosa nikaenda kuoga miaka 30 gerezani?"

Anakutazama kwa huzuni huku akitazama chini kwa huzuni, anakujibu:

“Mimba ile iliharibika akiwa na miezi miwili tu.”

Ghafla, unapata mshtuko kwa huzuni unasimama. Miaka yote 30 ya mateso, unyanyapaa, kupoteza ujana wako… kwa maisha ambayo hayakuendelea kuwepo. Hakuna mtoto. Huna chakurithi damu yako huna. Na yule uliyemtegemea kuwa mwanaye, hakuishi hata kuona mwanga wa dunia.

Sasa nakuacha na maswali ya kujiuliza:
Je, kama wewe ndiye mwanaume huyo, utachukua uamuzi gani?
 
IMG-20250802-WA0066(2).jpg
 
Bora hiyo ya mimba kuharibika? Je ya kubambikiwa?

Kuna family friend, ilimkuta hii, kijana alikutwa hatiani na case ya ujauzito wa mwanafunzi, kijana akahukumiwa jela 30yrs, huku nyuma yule binti alijifungua salama mtoto wa kiume, ila sura ilikua ya kijana mwingine kabisa,
Mtoto anakua huku anaonesha baba ake halisi ni yupii, yaan mtoto copy na Baba ake,

Baadae family ya kijana ambae ndo mwenye mtoto, wakaomba wapewe damu yao, na wao watalipia gharama zote zilizowahi kutumika tangu mimba hadi pale alipo, familia ya binti ilikataa ikasema huyu mtoto baba ake yupo jela, binti anahamaki yule sio mtoto wake huyu, nilikosea tyuuh kumtaja, kwakua hao vijana wote wawili alikua ana mahusiano nao.

Binti akawapa wenye mtoto wao, Jah sio Juma, yule kijana alipata msamaha wa Rais, hapo ashasota 16yrs, anategemea arudi amkute mwanae. Anafika anauliza mwanae yuko wapi? Anaambiwa ile mimba haikua yako, haamini anaoneshwa mtoto mwenyewe alikubali sio wake, jamaa kumuuliza binti vipi nilienda gerezani ilihali haikua mimba yangu, binti anasema mie sikujua mimba ilikua ya nani, nkaona nikutaje wee.

Jamaa akasema namtaka mwanangu, aliyenifanya niende jela, sijui utamtoa wapi ila hapa namtaka na nianze kuishi nae, nimeteseka na kuhangaika huko juu yake.

Binti hajui anafanyaje, na mtoto ashakabidhi kwa wenye wao halali, jamaa akasema miaka yote niliyokua jela italipiwa, km sitapewa mtoto wangu.

Mtoto na mama yake walikufa kifo cha kutatanisha, jamaa alienda msumbiji, piga kipapai ikadaka, watuu chaliiii.

Inaumiza sana kwa kweli.
 
Bora hiyo ya mimba kuharibika? Je ya kubambikiwa?

Kuna family friend, ilimkuta hii, kijana alikutwa hatiani na case ya ujauzito wa mwanafunzi, kijana akahukumiwa jela 30yrs, huku nyuma yule binti alijifungua salama mtoto wa kiume, ila sura ilikua ya kijana mwingine kabisa,
Mtoto anakua huku anaonesha baba ake halisi ni yupii, yaan mtoto copy na Baba ake,

Baadae family ya kijana ambae ndo mwenye mtoto, wakaomba wapewe damu yao, na wao watalipia gharama zote zilizowahi kutumika tangu mimba hadi pale alipo, familia ya binti ilikataa ikasema huyu mtoto baba ake yupo jela, binti anahamaki yule sio mtoto wake huyu, nilikosea tyuuh kumtaja, kwakua hao vijana wote wawili alikua ana mahusiano nao.

Binti akawapa wenye mtoto wao, Jah sio Juma, yule kijana alipata msamaha wa Rais, hapo ashasota 16yrs, anategemea arudi amkute mwanae. Anafika anauliza mwanae yuko wapi? Anaambiwa ile mimba haikua yako, haamini anaoneshwa mtoto mwenyewe alikubali sio wake, jamaa kumuuliza binti vipi nilienda gerezani ilihali haikua mimba yangu, binti anasema mie sikujua mimba ilikua ya nani, nkaona nikutaje wee.

Jamaa akasema namtaka mwanangu, aliyenifanya niende jela, sijui utamtoa wapi ila hapa namtaka na nianze kuishi nae, nimeteseka na kuhangaika huko juu yake.

Binti hajui anafanyaje, na mtoto ashakabidhi kwa wenye wao halali, jamaa akasema miaka yote niliyokua jela italipiwa, km sitapewa mtoto wangu.

Mtoto na mama yake walikufa kifo cha kutatanisha, jamaa alienda msumbiji, piga kipapai ikadaka, watuu chaliiii.

Inaumiza sana kwa kweli.
Mpaka ubambikiwe ni tayari ushailoweka , kula mwanafunzi au mtoto wa chini ya miaka 18 ni kosa kisheria.
 
Watu hawafungwi kwa kumpa mimba mwanafunzi wanafungwa kwa kosa linaloitwa kubaka, hiyo mimba inahesabiwa kama matokeo ya kubaka ingekua wanashtakiwa kwa kumpa mimba mwanafunzi wengi wangeshinda kesi wangesubiri hadi mtoto azaliwe wapime DNA
 
Mpaka ubambikiwe ni tayari ushailoweka , kula mwanafunzi au mtoto wa chini ya miaka 18 ni kosa kisheria.
Ni kosa kisheria sawa, ila kuhukumiwa kwa kosa la mwingine Je? Kwanini huyo dada hakumtaja muhusika? Si alikua analowekwa na wengi eeeh?

Ndo hicho yeye na mwanae wako huko ardhini wanatafunwa na funza. Jamaa yuko zake anakula dona km kawa, hata km aliteseka na kuhangaika huko jela, ila leo yuko uraiani anaswampa km kawaida,

Unaionajee hiyoo?
 
Bora hiyo ya mimba kuharibika? Je ya kubambikiwa?

Kuna family friend, ilimkuta hii, kijana alikutwa hatiani na case ya ujauzito wa mwanafunzi, kijana akahukumiwa jela 30yrs, huku nyuma yule binti alijifungua salama mtoto wa kiume, ila sura ilikua ya kijana mwingine kabisa,
Mtoto anakua huku anaonesha baba ake halisi ni yupii, yaan mtoto copy na Baba ake,

Baadae family ya kijana ambae ndo mwenye mtoto, wakaomba wapewe damu yao, na wao watalipia gharama zote zilizowahi kutumika tangu mimba hadi pale alipo, familia ya binti ilikataa ikasema huyu mtoto baba ake yupo jela, binti anahamaki yule sio mtoto wake huyu, nilikosea tyuuh kumtaja, kwakua hao vijana wote wawili alikua ana mahusiano nao.

Binti akawapa wenye mtoto wao, Jah sio Juma, yule kijana alipata msamaha wa Rais, hapo ashasota 16yrs, anategemea arudi amkute mwanae. Anafika anauliza mwanae yuko wapi? Anaambiwa ile mimba haikua yako, haamini anaoneshwa mtoto mwenyewe alikubali sio wake, jamaa kumuuliza binti vipi nilienda gerezani ilihali haikua mimba yangu, binti anasema mie sikujua mimba ilikua ya nani, nkaona nikutaje wee.

Jamaa akasema namtaka mwanangu, aliyenifanya niende jela, sijui utamtoa wapi ila hapa namtaka na nianze kuishi nae, nimeteseka na kuhangaika huko juu yake.

Binti hajui anafanyaje, na mtoto ashakabidhi kwa wenye wao halali, jamaa akasema miaka yote niliyokua jela italipiwa, km sitapewa mtoto wangu.

Mtoto na mama yake walikufa kifo cha kutatanisha, jamaa alienda msumbiji, piga kipapai ikadaka, watuu chaliiii.

Inaumiza sana kwa kweli.
Huko kwa mtaalamu itakuwa wewe ndio uli muelekeza jamaa!
 
Ni kosa kisheria sawa, ila kuhukumiwa kwa kosa la mwingine Je? Kwanini huyo dada hakumtaja muhusika? Si alikua analowekwa na wengi eeeh?

Ndo hicho yeye na mwanae wako huko ardhini wanatafunwa na funza. Jamaa yuko zake anakula dona km kawa, hata km aliteseka na kuhangaika huko jela, ila leo yuko uraiani anaswampa km kawaida,

Unaionajee hiyoo?
Hii noma sana
 
wewe huwa una penda kutaja waganga humu,

hadi kuna siku uli taka kumsaidia mtu namba za mganga amroge ex wake😂😂
Kwa kweli ulozi na ushirikina naabudu sana, wala sifichi, nimekulia kwenye koo yenye heka heka hizii.

Wagangaa nawajua mnoo, na chalee zao mwilini zipoo.

Vipi we hutaki nikupelekee uka boost ndagu ya kuweka kwa biashara zako?
😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom