Ulimpataje umpendae?

Mimi nilipomuomba namba tuu akawa amekwisha maana yeye mwenyewe akawa ananipigia sijui alikuwa anangoja nimuombe namba?yaani nimempata kirahisi kuliko kumung'unya pipi
 
Nakumbuka nilikua naumwa macho siku flani miwani yangu iliisha nguvu

nikatoka ofisini mpaka pale NHC house kumuona mtaalamu wa macho maana nilisikia sifa za uzuri wa flem zao

Kufika pale Dr mwenyewe ndio huyu mpenzi wangu back then tulisoma wote primary sio siri nilimpenda ghafla ilichukua muda ila nashukuru alinielewa

Nataraji kumuoa mwakani mwezi wa 4
 
Mungu akufanyie wepesi mkuu
 
Mpo katika urafiki mwaka mzima no kuonja?...tonatofautiana aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…