Ulimkomeshaje alipokusaliti?

Ulimkomeshaje alipokusaliti?

Siku moja nilipewa story zake kuwa anani'cheat,,nikachukua Pikipiki nikampakiza tukaelekea kwenye jumuiya maana Baba ake na Mama ake walienda kusali kule,,ile tunafika tu namshusha wanadhani labda nimemleta ajumuike nao kwenye kusanyiko lile,si nikaanza kumla mate uku namtomasa dodo zake,,alinisukuma akaanza kulia nikapanda pikipiki yangu nikaamsha.
Acha uongo mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliona dalili za kupigwa chini akaniwahi akakomba vitu geto akasepa,,

Nikaweka supa sub afu nikajaza mazagazaga mapya geto, yeye huko alikoenda kupanga watu wa vikoba wakapita na vitu vyake, jamaa aliyekuwa anamgonga akapotea.

sasa huwa ananitishia kuturoga na sub yangu,,,

Sasa sijui tusharogwa au bado,,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliona dalili za kupigwa chini akaniwahi akakomba vitu geto akasepa,,

Nikaweka supa sub afu nikajaza mazagazaga mapya geto, yeye huko alikoenda kupanga watu wa vikoba wakapita na vitu vyake, jamaa aliyekuwa anamgonga akapotea.

sasa huwa ananitishia kuturoga na sub yangu,,,

Sasa sijui tusharogwa au bado,,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua msharogwa
 
Kwahiyo siku hiyo ulizuga unaumwa moyo then ukamdanganya na magic voice. Akatoa laki sita kukutibia.

Ungekuwa ushapita hata geti la chuo usingeandika hili bandiko. Mademu wa kishua wote ninaowaona hapa sioni kilaza wa kukulipia ugonjwa feki kwa laki 6.
 
Back
Top Bottom