Penelope
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 713
- 641
WanaJF,,
.Nimekua nikiona hali tofauti za wanaume(tabia) zao zinapobadilika kutokana na hali ya kifedha.Pindi mwanaume anapokua kwenye hali ya kawaida kifedha tabia zake kwenye suala la mapenzi hua anakua ametulia kwa kiasi fulani,na hata kama ni kwenye ndoa basi kunakua na Amani na Uaminifu.
Sasa basi;
Mambo yanapobadilika na kuweza kufanikiwa kushika hela za kumtosha,hapo ndo shetani anapotawala,hakuna mwanamke atapita mbele yake asitake kua naye,dharau hata kwa mke wake na kumuona si lolote si chochote na mambo mengine ya kuvuruga Amani,
Maoni yenu plz
.Nimekua nikiona hali tofauti za wanaume(tabia) zao zinapobadilika kutokana na hali ya kifedha.Pindi mwanaume anapokua kwenye hali ya kawaida kifedha tabia zake kwenye suala la mapenzi hua anakua ametulia kwa kiasi fulani,na hata kama ni kwenye ndoa basi kunakua na Amani na Uaminifu.
Sasa basi;
Mambo yanapobadilika na kuweza kufanikiwa kushika hela za kumtosha,hapo ndo shetani anapotawala,hakuna mwanamke atapita mbele yake asitake kua naye,dharau hata kwa mke wake na kumuona si lolote si chochote na mambo mengine ya kuvuruga Amani,
Maoni yenu plz