Ulimboka asalitiwa

Mwanaharakatihuru

JF-Expert Member
Mar 21, 2012
477
120
Ule usemi mwafrica lake tumbo umetimia pale madaktari walipoenda wizarani wakilia na kulaani kupotoshwa chanzo kimeeleza.

Mpaka napo pata chobingo ya kurusha nondo hizi aliyeonyesha msimamo baada ya Dr Ulimboka ni Dr Mng'ong'o peke yake kwa kuamua kuresign akiwa kama specialist

Kama hoja ya msingi wanayogomea ni vifaa na madawa inakuwaje kuambiwa kurudi wa karudi.

Naanza kuamini kuwa kuna watu ama wanatumika ama wanachodai kikubwa ni mshahara.

Huu ni upepo tu, kweli ukiona upepo wa ganda ujue ama wewe kichaa ama umelogwa upepo wake mbio

Madaktari asanteni kwa kutusaidia kujua upande wa pili wa shilling
 
Hajasalitiwa bali ni ishara kuwa Ulimboka hakuwa na wafuasi kwenye mgomo huo.

mgomo haukuwa wa madaktari bali ulikuwa wa Ulimboka
 
ulimboka hatokufa kama mlivyopanga,ataishi kukamilisha ukombozi!
Propaganda hazitamaliza mgomo!
 
Hawawezi kufanya maamuzi magumu kwa harakaharaka hivyo.Ili umshinde adui usimkimbie. Collabo nae ili ujue mbinu zake kisha umtwange. Sasa mng`ong`o amekimbia vita ambapo kimsingi amethibitisha kushindwa. Kwetu wakurya tuna msemo huu``Umshasha atakobhoha kino kighusha, nkobhohare kino ghikuya" yaani mwanaume haogopi kinachokuja bali kinachokwenda. Sasa Madr`S waliobaki hawaogopi kinachokuja bali wanapambana na chochote kinachokuja mbele yao. Jambo ambalo watanzania wengi hawalijui ni kwamba wanadhani serikali kuwafukuza ama kuwafutia usajili Madr`s ndo inakuwa imewajali wananchi kwa kuwatendea/kuwapa haki yao ya kupata huduma ya afya, kumbe sivyo, badala yake imeongeza matatizo ya afya kwani waliopo siyo tu kwamba wanahudhuria kazini bali wanazuga tu, wanakupokea wanakupa kitanda unalala weee daktari hayupo kisa amefutiwa lesseni/amefukuzwa. sasa hapo unafuu ulioupata mwananchi/raia uko wapi. Kwa kutokujua unashangilia serikali kufukuza/kusimamisha/kufutia lesseni DRs kumbe ndo imeongeza vifo vya raia kuliko hata vile vilivyosababishwa na mgomo wa DRs. Tafakarini sawasawa kisha muiwajibishe serikali iache kuuwa raia wakiwemo wagonjwa kwa kisingizio cha kuchukua hatua za kinidhamu. kama walijua kwamba wanaweza kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya DRs kwanini walikwenda mahakamani? Je kwanini mahakama nayo halioni hilo la kuingiliwa na serikali ktk utendaji wake ikaamua kufuta kesi kwa kuwa tayari upande/pande zenye mgogoro zimeamua kusuluhishana nje ya mahakama kwa upande mmoja(serikali) kujichukulia madaraka mkononi kwa kisingizio cha mwajiri? Je mahakimu wetu ni midori wa kuchezea chezea na kuchezewa chezewa na serikali kama inavyotaka? Ninyi mahakama ya kazi pigeni chini kesi hiyo ili angalau bunge lipate fursa ya kujadili mustakabali wa sekta ya afya kwani sasa mnatumika kama mwavuli wa serikali dhidi ya Bunge.
 
Dr. Ulimboka Hajajiriwa serikalini,angewezaje kuitisha mgomo wa madaktari kama siyo hao madaktari waliomshauri afanye hivyo,hao wanakimbia vivuli vyao!
 
Sinema imeshafika THE END na stearling hajafa, anzisheni mgomo mwingine
 
..ila mie niko sehemu hapa...kuna madaktari wako wanadai wameenda kazini na kurudi mtanii ,,wanakula bia tu na totoz zao...ka mgomo baridi
 
Back
Top Bottom