Upepo huu si mwingine bali wa kufungiwa kutumia Jf baada ya kula ban ya mwezi mmoja. Sababu ya kufungiwa ni baada ya kuandika kuwa alah ndiye shetani mwenyewe katika post yenye tittle ya soma hapa USIWE CHAKULA CHA WASOMI. Cha ajabu wale waumini wa Allah kila siku katika jukwaa la dini, lazima waje na uzi wa kupinga uungu wa Yesu ili hali wao si imani yao, nami nilipoandika juu ya Mungu wa Imani yao, fasta tu nikalamba ban.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.