Ulijuaje unadate na wakishua

Atasaaa atasaaa atasaa!....
 
Kuna mtu alishangaa kuona nimekula slice mbili za mkate na kipande cha yai halafu nikamwambia nimeshiba sana, hadi leo ananiita wa wakishua, ananikeraaaa
 

Hii inekaa kiutani lakini kuna mengine yametokea kweli.

Hii ya "Alisema anatoka mara moja kumbe anaenda Japan" imenikumbusha mbali sana.

Kuna mchizi alitufanyia hiyo, katuacha nyumbani kwake tume chill na mdogo wake. Kasema anatoka mara moja.

Basi tumekaa tunaangalia ITV tukamuona kwenye taarifa ya habari anapanda ngazi za ndege. ITV wanasema "Ujumbe wa Tanzania umeondoka leo kwenda Japan..."

Tukasema yule pale si mchizi mwenyewe katuaga anatoka mara moja hapa yule?

Tena ilikuwa hivyo hivyo Japan.
 
Wale wa kishua og wakisoma hizo comment hawaelewi chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…