Hata najua basi
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 1,709
- 3,385
Angalia kwenye screen shot utaona kuna jamaa alifungua yoghurt then akatupa kile kifuniko chake bila kukilambaKifuniko kivip
Angalia kwenye screen shot utaona kuna jamaa alifungua yoghurt then akatupa kile kifuniko chake bila kukilambaKifuniko kivip
Atasaaa atasaaa atasaa!....Mwanangu nshawi kukutana na pisi miaka flani ya 2015 au16 hv, niliazma gari kwa bro appointment ikawa mlimani city, pisi ikataka ice cream nikanunu, ikataka na viujinga ujinga snacks za hapa na pale nikanunua, dakika za majerui nikawa napiga hesabu naona hela nlobaki nayo haitoshi hata kurudishia mafuta ya watu, ile frustration usoni kwangu haikufichika. Demu alijiongeza akanipa kadi yake ya bank akanambia katoe hela chap.
Atasaaa atasaaa atasaa!....
Duh sijakuelewaAngalia kwenye screen shot utaona kuna jamaa alifungua yoghurt then akatupa kile kifuniko chake bila kukilamba
Duh sijakuelewa
Hawa ndio wale wanachokonoa pua na vidole 🚮
Sio watu mkuu ni wale ng'ombe wanatoaga maziwa mgandowakishua ndo watu gani? mimi ni mgeni humu😎
Check comment 👇🤣😅
Ukishakuwa mtu wa diet we ni mshua tayariKuna mtu alishangaa kuona nimekula slice mbili za mkate na kipande cha yai halafu nikamwambia nimeshiba sana, hadi leo ananiita wa wakishua, ananikeraaaa