Kahama- shy
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,951
- 2,694
Check comment 👇🤣😅
Mkasa upi mkuuniitieni huyu mtu hapa min -me tuambie ule mkasa ulokukuta mwaka juzi songea.. à ½Ã¸à ½Ã¸à ½Ã¸
Ile pisi yako ya kishuaMkasa upi mkuu
Mimi sinishasemaga ni beki tatu tu bwasheeIle pisi yako ya kishua
Mwanangu nshawi kukutana na pisi miaka flani ya 2015 au16 hv, niliazma gari kwa bro appointment ikawa mlimani city, pisi ikataka ice cream nikanunu, ikataka na viujinga ujinga snacks za hapa na pale nikanunua, dakika za majerui nikawa napiga hesabu naona hela nlobaki nayo haitoshi hata kurudishia mafuta ya watu, ile frustration usoni kwangu haikufichika. Demu alijiongeza akanipa kadi yake ya bank akanambia katoe hela chap.Mkasa upi mkuu
à ½Ã¸à ½Ã¸à ½Ã¸à ½Ã¸ Hutaki mambo mengi mkuuMimi sinishasemaga ni beki tatu tu bwashee
Mimi sikua napenda changamoto mkuu vitu vyangu vilikua ni beki tatu zetu 😅Mwanangu nshawi kukutana na pisi miaka flani ya 2015 au16 hv, niliazma gari kwa bro appointment ikawa mlimani city, pisi ikataka ice cream nikanunu, ikataka na viujinga ujinga snacks za hapa na pale nikanunua, dakika za majerui nikawa napiga hesabu naona hela nlobaki nayo haitoshi hata kurudishia mafuta ya watu, ile frustration usoni kwangu haikufichika. Demu alijiongeza akanipa kadi yake ya bank akanambia katoe hela chap.
Wanastahili uzi waoà ½Ã¸Mimi sikua napenda changamoto mkuu vitu vyangu vilikua ni beki tatu zetu à ½Ã¸
Wanawake ambao kwao wana maisha safi kiuchumiwakishua ndo watu gani? mimi ni mgeni humu😎
Kifuniko kivipakatupa kifuniko bila kukilamba 😢