Ulijuaje unadate na wakishua

Ulijuaje unadate na wakishua

Kahama- shy

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
1,951
Reaction score
2,694
Check comment 👇🤣😅
Screenshot_20260311-145234.jpg


Screenshot_20260311-145219.jpg
 
ACHA nisome Comment maana sijawahi kutana na hiyo scenario
 
Mkasa upi mkuu
Mwanangu nshawi kukutana na pisi miaka flani ya 2015 au16 hv, niliazma gari kwa bro appointment ikawa mlimani city, pisi ikataka ice cream nikanunu, ikataka na viujinga ujinga snacks za hapa na pale nikanunua, dakika za majerui nikawa napiga hesabu naona hela nlobaki nayo haitoshi hata kurudishia mafuta ya watu, ile frustration usoni kwangu haikufichika. Demu alijiongeza akanipa kadi yake ya bank akanambia katoe hela chap.
 
Mwanangu nshawi kukutana na pisi miaka flani ya 2015 au16 hv, niliazma gari kwa bro appointment ikawa mlimani city, pisi ikataka ice cream nikanunu, ikataka na viujinga ujinga snacks za hapa na pale nikanunua, dakika za majerui nikawa napiga hesabu naona hela nlobaki nayo haitoshi hata kurudishia mafuta ya watu, ile frustration usoni kwangu haikufichika. Demu alijiongeza akanipa kadi yake ya bank akanambia katoe hela chap.
Mimi sikua napenda changamoto mkuu vitu vyangu vilikua ni beki tatu zetu 😅
 
Wakishua wa zamani ilikuwa kweli ila wa siku hizi ni wasanii ,waigizaji na maslay queen wanaigiza ukishua ila wakiumwa wanaanza kutia huruma wachangiwe hela wakatibiwe .

Respect sana watoto wa obay, watoto wa keko waliamua kuendekeza ngeta kwa kudhani kila wa kule ni wa kishua kumbe wengine wazazi wao ni wa mara musoma huko hawaishi maisha mapya ya uzungu
 
Back
Top Bottom