Msolid1990
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 144
- 49
Mimi nilikuwa mara nyingi nikigoogle ili kusoma vitu vingine navyotaka nakuta naambiwa niweke username au nifanye registeration ndo niweze kufungua. so siku moja nikaamua kujirejista niliyoyakuta ndani yakanishikia humu hadi leo. Lol!! sijui hii limbwata ya jf itaisha lini niondoke zangu.....
Jamaa yangu mmoja ye kaniambia alihadithiwa shuleni kwao akaamua kujiunga...
Najua hukujikuta tu jf from nowhere ebu funguka na wewe.
Jamaa yangu mmoja ye kaniambia alihadithiwa shuleni kwao akaamua kujiunga...
Najua hukujikuta tu jf from nowhere ebu funguka na wewe.