Chikwangara
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 685
- 939
Mpenzi wangu ni mwalimu wa shule ya msingi, alikuwa kabla hajarudi nyumbani anapitia lodge na mwalimu mwenzie ndipo anarudi nyumbani.
Sasa kuna siku nilipewa taarifa na mwalimu mwenzake kuwa kuna mchezo unaendelea kati ya mpenzi wangu na huyo mwalimu mwingine.
Nikatega mtego, nikawanasa nikaachana naye.
Wengine ilikuaje na mlitatua vipi?
Sasa kuna siku nilipewa taarifa na mwalimu mwenzake kuwa kuna mchezo unaendelea kati ya mpenzi wangu na huyo mwalimu mwingine.
Nikatega mtego, nikawanasa nikaachana naye.
Wengine ilikuaje na mlitatua vipi?