Ulianzaje kujichua(punyeto)?

Ulianzaje kujichua(punyeto)?

Sisi maveteran nakumbuka tukiwa shule tulikua mpaka na mashindano ya nani anaweza kurusha mbali basi mnajipanga mstari watu kama watano kazi inaanza

Ujana una mengi hakikisha kabla hujatoka uwe umefanya mengi pia
Mlitisha sana
 
Binafsi nimeanza mpango mkakati wa kuacha mwaka huu, na mpk kufikia sasa naona matumaini. Inawezekana hakuna madhara ya moja kwa moja ya uzazi, lakini yapo hususan ya saikolojia, hisia, ulaibu n.k
Yeah ni kwel
 
Back
Top Bottom