Uliachwa kwa staili gani?

Uliachwa kwa staili gani?

Alilala kwenye kifua changu akasema et anasikia sauti za wanawake wanamcheka.......Ndio nikaachwa hivyo......kama utani vile
 
Miaka 15 iliyopita niliachwa na mwanamke niliyempenda sana na kuamini ndiye atakuwa mke wangu.

Bahati mbaya katika harakati za maisha nikapata tatizo la moyo, hali iliyoniweka hocpital kwa muda mrefu.

Nakumbuka maneno yake '' sitaki kuwa mjane mapema naomba tuachane tu''

Siku hiyo kidogo mtoa roho apite na mimi.

Ila basi tu
Pole sana.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom