Uliachanaje na dem/bwana wako?

Uliachanaje na dem/bwana wako?

Demu alinipakazia tu amesikia mengi kuhusu mimi nina wanawake wengi ndiyo ikawa kumwagana
Dah mimi ilinitokea jana tu. Mambo yaliyotokea yule demu ni mpuuzi kweli elimu ya Tanzania inashida haiwezekani mtu amalize form 4 awe na uelewa mdogo vile.
 
Madem zangu wote ambao hua naachana nao, hua tunaachana kwa vigezo cha kutaka pesa sana, yaani pesa anataka ila migegedo kutoa inakuwa mbinde. Me nikinyimwaga migegedo hua najikataa mazima hata Hi huwa siitaki!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi mara zote nikiwachoka huwa nawagonganisha wenyewe kwa wenyewe kinachofuatuiia ni tifu ya maneno au ngumi..halafu kuna atakayesusa hivyo atakayebaki naendelea naye. Kama ni yuleyule niliyemchoka nitamgongesha tena na tena mpaka akimbie.
 
Back
Top Bottom