FBS90
Member
- Jan 27, 2019
- 18
- 16
Kila Siku watu wanaanzisha na kuvunja mahusiano na wapenzi wao.
Vipi mdau, mliachanaje na mpenzi wako?Hapa ni wale wa mtaani (michepuko) ambao huna malengo nao. Mimi nikipata papuchi najitoa kimyakimya bila vurugu kistaarabu na kwa amani kabisa.
Funguka wewe unawatemaje madem/mabwana zako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi mdau, mliachanaje na mpenzi wako?Hapa ni wale wa mtaani (michepuko) ambao huna malengo nao. Mimi nikipata papuchi najitoa kimyakimya bila vurugu kistaarabu na kwa amani kabisa.
Funguka wewe unawatemaje madem/mabwana zako.
Sent using Jamii Forums mobile app
