Ulevi umekithiri sana kwa vijana

Ulevi umekithiri sana kwa vijana

Jamani hivi ni mimi tu naona swala la ulevi limekithiri sana kwa vijana nimetembelea mikoa kama miwili hivi dah vijana wanakunywa sana
Ulivyowaona ndiyo basi?Unataka kueleza nini?Maana mtu akilewa anaonekana.Na hao wachawi,wazinzi,wezi,matapel,vibaka na machizi fresh umewazingatia?Maujinga yenu huwa mnayatua kwa wanywa pombe tu.Wabakaji wanaovuta bangi uliongea nao?Ulipata nini kutoka kwao?
 
Ulivyowaona ndiyo basi?Unataka kueleza nini?Maana mtu akilewa anaonekana.Na hao wachawi,wazinzi,wezi,matapel,vibaka na machizi fresh umewazingatia?Maujinga yenu huwa mnayatua kwa wanywa pombe tu.Wabakaji wanaovuta bangi uliongea nao?Ulipata nini kutoka kwao?
Na ww unaweza yazungumzia hayo mengine
 
Kama furaha yako ni chai focus on it....acha wapiga kilaji tuendelee kuchangia pato la nchi..yupo aliekuwa anaimba kila siku pray &drink water..yako wapi?
 
Maisha ya Duniani ni magumu sana. 'Ahera pana nafuu kuliko Duniani'. Mungu baba wa Mbinguni atuhurumie sisi waja wake...
 
Kwahiyo kama Ulevi umekithiri kwa Vijana wewe unatakaje?

Kwanza, Hao Vijana wenyewe wanasemaje?

Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini watu wanalewa?

Basi, kwa Taarifa yako; HAKUNA WATU WENYE UPENDO NA UTAYARI WA KUFANYA LOLOTE ZURI KAMA WANYWAJI. Ishi nayo hiyo.
 
Nyie msiokunywa ndio mnaishia kujinyonga
 
Back
Top Bottom