ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
....Mwenzenu nimeamka na mipombe kichwani...
....nshamkwaza ma'msapu toka alfajili bila sababu za msingi, lakini nimejaribu kusawazisha baada ya kumwelekeza afunge zipu ya gauli mgongo ulikuwa wazi wakati anatoka kwenda church...alitabasamu tu, nadhani akirejea church yatakuwa yamekwisha!!
Hangover balaaa...nimeshindwa hata kwenda church..najihisi kutenda dhambi kubwa sana leo ..
AMA HAKIKA ULEVI NI NOMA !!!!.
....nshamkwaza ma'msapu toka alfajili bila sababu za msingi, lakini nimejaribu kusawazisha baada ya kumwelekeza afunge zipu ya gauli mgongo ulikuwa wazi wakati anatoka kwenda church...alitabasamu tu, nadhani akirejea church yatakuwa yamekwisha!!
Hangover balaaa...nimeshindwa hata kwenda church..najihisi kutenda dhambi kubwa sana leo ..
AMA HAKIKA ULEVI NI NOMA !!!!.