Nakupa hii..Mkuu acha tu.
Masela wakaniambia faza Angalia huyo kungulu kuwa naye makini atakuua..Mzee papuchi acha niliila tu kibishi Tena bichi
Dem mzuri sana tatizo wahuni watu wabaya Sana wanamchakaza Dem Hadi inabadilika. Inakuwa kama pweza.Nakupa hii..
Unatafuta ARV tumia tembe mbili..
Kula papuchi za namna hiyo mwezi hata kama kaubeba huko hupati ..
Bado nafurahi eti ilipigwa hadi ikaweje?
La ulevi achana nalo hakuna kurithi. Kwenye kukazwa ndio shikilia hapo.Mimi ni mtumishi wa umma kwa Miaka nane sasa ktk idara Fulani ya halmshauri. Nina 33 yrs old na elimu ya MSc. Kilichonileta hapa ni kwamba Nina mchumba wangu ambae ni Mwl na sasa hivi ni mwl mkuu wa gvt primary school na she is 28yrs. Kwangu ananiheshimu vizuri tuu ila problems ambayo inanifanya nimekuepo nasita kumuoa kwasababu mojawapo ni kwamba Kaka zake wawili ni walevi wa kupindukia. Kaka Mmoja ni mtumishi wa serikali Ila ni mlevi wa kupindukia mpaka anasahau majukumu ya familia yake na mwingine ni mlevi hivi sasa yupo sober house kupata matibabu . Ktk historia yake anasema Baba yake mzazi alikuepo ni mlevi Sana na ulevi huo ndio ulipelekea kifo cha Baba yake . Yeye mchumba japo aliniambia alikuepo anatumia wine mara chache Sana especially kwenye matukio tuu. Mama yake pia hanywi kabisa . Challenge . Nikikumbuka pombe , sigara etc jinsi zilivotekeza watoto wa Baba yangu Kwa mama mkubwa naogopa mno . Wajomba wa ukoo ule wa mama mkubwa walikuepo ni walevi wa kupindukia hivyo kaka na Dada yangu wa mama mkubwa pia warilithi hizo Tabia za ulevi Hadi kupelekea kifo cha kaka yangu mkubwa. Mimi ktk historia yangu sijawahi kinya pombe, kuvuta sigara au kutumia madawa yeyote ya kulevya. Mimi ni allergic hata harufu ya pombe Aina yoyote Ile nikiisikia Hilo eneo naondoka . Kifupi hata Malta sinywi huwa Ile harufu yake ni Kali . Nakunya soda za kawaida na juice za kawaida. Ktk uzao wa mama yangu wote hatutumii pombe . Nilivyoukuepo mdogo kule kwetu kikombe walichowekea ulanzi nilikikariri sikuweza kukutumia tena either kunywea chai au maji etc. Hivi sasa napata challenge kwa huyu mpenzi wangu ambae nilitarajia nimuoe kumuacha nashindwa cha kumwambia namuachaje hii Tabia ya ndg zake ya ulevi naogopa isije kurithiwa na wanangu.nikiangalia tumekaa kwa relationship about eight months. Yeye anahisi lengo langu ilikuepo kumchezea tuu ili nije nimkimbie . Other challenges nahisi aliwahi kutembea na mzee mmoja ambae ana kitengo nyeti serikalini. Sina Amani ya kumuoa sina Amani naomba ushauri kwa wazoefu nahisi Ile Tabia ya wajomba itaambukizwa Kwa watoto wangu hivyo itanipa challenge ya kuwalea watoto.
Nani amekudanganya hii?Na ambao hamnywii uwii ni walevi wa k kuzidi wanywaji wa pombe
Mwambie awe anaipaka mafuta ya zaituni na miski kidogo ili ipunguze hizo rangi..Dem mzuri sana tatizo wahuni watu wabaya Sana wanamchakaza Dem Hadi inabadilika. Inakuwa kama pweza.
Wewe ukikutana naye anadhani huoni... Ukiona papuchi inakuwa kama ya Mzee wa miaka mia moja. Imelegea mbaya
Wahuni wanaisugua kama gunia la ngoziMwambie awe anaipaka mafuta ya zaituni na miski kidogo ili ipunguze hizo rangi..
Lakini mwanamke akizaa tu ile hali ya mwamzo ya papuchi hunadilika so hata mkeo akizaa atakuwa na hali hiyo mkuu
Msisitize kupaka mafuta za zaituni
Wahuni banah hahaha.
Yes it's true I'm also a biologist and some knowledge in biosciences. hii Tabia imeonekana Kwa Baba mzazi wa Binti na watoto wake wa kiume. It may show up kwa watoto nitakaozaa na huyu Binti. Kunywa pombe kupo Ila kule kunywa kwa kupitiliza mpaka mtu hajitambui na anafikiri maisha ndio kunywa tuu yeye kipato chake chote anakiekekeza kwenye pombe tuu.Jamaa una kitu kikubwa kichwani.
Hekma busara.. nakukubalia..
Japo kama kama ni ishu ya vinasaba it take seventh generation to show behavior ya kifamilia..
Genes zinatokea hata baadae Sana....
Na ulevi ,uhuni vinarithishwa lkn huonekana after several years.
Iam biology expertise
Kwa experience yngu n bora bia kwa mwanamke kuliko wine, coz wine ina nyegesha wanawake kinyama!!Sasa hunywi pombe duniani unafanya Nini?kudate mwanaume asikunywa pombe huwa Wana gubu na wajuaji kila saa anakusomea risala utasema umekaa na mjomba wako......Kama vipi achana nae usimuoe dada wa watu mwisho ukaanza kumsimangia Kaka zeka
NB:Jamani tujifunze kubeba mapungufu ya ndugu zetu sisi wenyewe,haya Mambo ya penzi kunoga unaanza kumsimulia mtu eti baba yangu alikuwa mlevi Sana ndio chanzo Cha kifo chake,au Kaka yangu Ni mwizi aiseeeee penzi likichuja kidogo utasimangiwa hayo hayo ya nduguzo
SanaWanaume wasiokunywa pombe
ASILIMIA kubwa wanakua wambea sana
Ajabu umesema na kwenu kuna waraibu wa pombe..hao hujahisi watarithi wanao?š®Ni unywaji uliopindukia . Kuna unywaji wa kawaida na ule uliozidi kiwango . mwingine kapelekwa sober house . Kapelekwa Nyumba za maombi imeshindikana
Sio kweli...kinaappear mapema tu..kuna jank amerithi kwa babake ulevi hadi anaokotwa mitaroni..same applies to his dad...marehenu babake alikua analala kwa mitaro...kinarithi fast tu hata sio lazima kizazk cha 3Jamaa una kitu kikubwa kichwani.
Hekma busara.. nakukubalia..
Japo kama kama ni ishu ya vinasaba it take seventh generation to show behavior ya kifamilia..
Genes zinatokea hata baadae Sana....
Na ulevi ,uhuni vinarithishwa lkn huonekana after several years.
Iam biology expertise
Sijadanganywa nimeonaNani amekudanganya hii?