Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 4,162
- 12,926
Huo Upendo zama hizi HAUPO.Ule upendo ambao hauangalii una Nini au we ni nani au ukoje,unaakuangalia moyo wako.
Unaowaunganisha watu Kwa mioyo Yao na sio walivyo navyo.
Upo lakini ni wa kumulika kwa tochiNaulizia ule upendo unaopenda toka moyoni Kwa Nia ya dhati.
Ule upendo ambao hauangalii una Nini au we ni nani au ukoje,unaakuangalia moyo wako.
Unaowaunganisha watu Kwa mioyo Yao na sio walivyo navyo.
Ule upendo ambao hata ukiporomoka Hadi 0 mwenzio bado anakwambia nipo nawe.tutatafuta tutapata na Maisha yataendelea.
Ule upendo hata ukiwa hoi unaumwa mfano umepata ajali bado mwenzio yupo pembeni yako,anakwambia utakuwa sawa na Maisha yataendelea.
Ule upendo unaojali bila ubinafsi.
Ukipatwa na aibu yuko mstari wa mbele kukusitiri
Unapojikwaa ndie wa kwanza kukuinua
Unaoheshimu viapo na ahadi.
Bado upo?
Maana siku hizi ndoa zinavunjika kirahisi sana.
Ukikosa kazi tu mwenzio huyo anaondoka. Akiona unachelewa kuzaa kashatafuta mimba nje
Ukipata ajali au ugonjwa ukakuacha mlemavu msahau!
Wanandoa wanakimbiana.watoto wanatelekezwa.
Mtu anaamua kuwa nawe sababu unaweza kumpa hiki ama kile lakini sio Kwamba anakupenda wewe kama wewe.
Wengine huenda Hadi madhabahuni kula kiapo ila after few months anaondoka.
Ama mwingine anaingia sababu unaweza mpa ndoa lakini hakupendi,unaletewa mimba sio zako,anafanyana na anaowapenda na kukuletea wewe damu sio zako.
Anazaa watoto nje Kwa anaowapenda lakini hawana vigezo vya kuwa wake,yuko nawe sababu unafit na uko tayari kuwa mke.
Upendo genuine kabisa ule upo?
Kwanza kabisa huo upendo haujawai kuwepo. Wewe uliouona wapi?Naulizia ule upendo unaopenda toka moyoni Kwa Nia ya dhati.
Ule upendo ambao hauangalii una Nini au we ni nani au ukoje,unaakuangalia moyo wako.
Unaowaunganisha watu Kwa mioyo Yao na sio walivyo navyo.
Ule upendo ambao hata ukiporomoka Hadi 0 mwenzio bado anakwambia nipo nawe.tutatafuta tutapata na Maisha yataendelea.
Ule upendo hata ukiwa hoi unaumwa mfano umepata ajali bado mwenzio yupo pembeni yako,anakwambia utakuwa sawa na Maisha yataendelea.
Ule upendo unaojali bila ubinafsi.
Ukipatwa na aibu yuko mstari wa mbele kukusitiri
Unapojikwaa ndie wa kwanza kukuinua
Unaoheshimu viapo na ahadi.
Bado upo?
Maana siku hizi ndoa zinavunjika kirahisi sana.
Ukikosa kazi tu mwenzio huyo anaondoka. Akiona unachelewa kuzaa kashatafuta mimba nje
Ukipata ajali au ugonjwa ukakuacha mlemavu msahau!
Wanandoa wanakimbiana.watoto wanatelekezwa.
Mtu anaamua kuwa nawe sababu unaweza kumpa hiki ama kile lakini sio Kwamba anakupenda wewe kama wewe.
Wengine huenda Hadi madhabahuni kula kiapo ila after few months anaondoka.
Ama mwingine anaingia sababu unaweza mpa ndoa lakini hakupendi,unaletewa mimba sio zako,anafanyana na anaowapenda na kukuletea wewe damu sio zako.
Anazaa watoto nje Kwa anaowapenda lakini hawana vigezo vya kuwa wake,yuko nawe sababu unafit na uko tayari kuwa mke.
Upendo genuine kabisa ule upo?
😄😄Kwanza kabisa huo upendo haujawai kuwepo. Wewe uliouona wapi?
Hata mke mpiga kelele mtu anasepa zake,world of no stress!, bear you're stress alone,and not disturb other!
AiseeAcha kujichosha mkuu
Hilo swala ni lipo kwenye ndoto
Game yao ni Hypergamy
na yetu ni Polygamy
So ni Bora kuwa muhuni tu au kuhangaika huku na kuleHata mke mpiga kelele mtu anasepa zake,world of no stress!, bear you're stress alone,and not disturb other!
Ila ni nadra sana kumuona na kupata?Bado upo.
Bado upo.
Asante Kwa kumbushoUpo lakini ni wa kumulika kwa tochi
2 TIMOTHEO 3
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.
2 Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,
3 wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema,
4 wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;
Ndipo kupishana na upendo wa ukweli kunapotokeaNdio bado upo, ila sikuhizi una tagline inasema "vigezo na masharti kuzingatiwa"