Mkuu, acheni kucheza na hiki kitu "Mungu" unajua hawa wazungu wanazivuruga hizi nchi wakitaka kuweka viongozi wao hebu angalia Libya, Iraq, Afghanistan na sasa wanajaribu Syria,bila kujua viongozi wale wamewekwa na Mungu wanaouwezo wa kutuliza nchi zile, leo wamezivuruga nisawa nakubomoa shimo la siafu, nini kitatokea.... lazima watasambaa kutafuta hifadhi, walikuwa wanaishi vizuri kwenye nchi zao,, wanakula, wana lala, sasa kinachotokea wanataka kuhamia Ulaya, mimi imenifurahisha sana manake haya mataifa makubwa hususani Marekani washenzi sana...angali sasa wana taka sisi wote tuwe ma-ANTI.....shenji yao mafuta yenyewe wanayoyatamani yanachimbika sasa?, na bado, Mungu mkubwa, leo wakimbizi wanakimbilia Ulaya.