Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,192
- 929
Nchi zilizoathirika ni nyingi sana ikiwa pamoja na AFRICA lakini ulaya iko juu zaidi kwa idadi ya vifo na wagonjwa.
Wajiulize juu ya matendo yao dhidi ya nchi za dunia ya tatu.
Inawezekana mungu anawaonjesha machungu ya kufiwa na wapendwa wao hili waache kusababisha vita, kunyonya inchi maskini, kupandikiza magonjwa kwa makusudi na kupandikiza migogoro kwa nchi za dunia ya tatu(third world country).
Kuanzia DRC, SOMALIA, BURUNDI RWANDA, LIBYA AFRICA YA KATI na nyingine nyingi athari za vita zilizotoka na wao ni kubwa.
Ingawa sijui Africa itafanikiwa kwa kiasi gani kwenywe vita hii lakin sisikitiki na wala sitasikitika kutokana na maelfu ya vifo vitakavyotokea kwenye (developed countries)
Kwa kifupi nasikia kama mungu anatulipia kisasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajiulize juu ya matendo yao dhidi ya nchi za dunia ya tatu.
Inawezekana mungu anawaonjesha machungu ya kufiwa na wapendwa wao hili waache kusababisha vita, kunyonya inchi maskini, kupandikiza magonjwa kwa makusudi na kupandikiza migogoro kwa nchi za dunia ya tatu(third world country).
Kuanzia DRC, SOMALIA, BURUNDI RWANDA, LIBYA AFRICA YA KATI na nyingine nyingi athari za vita zilizotoka na wao ni kubwa.
Ingawa sijui Africa itafanikiwa kwa kiasi gani kwenywe vita hii lakin sisikitiki na wala sitasikitika kutokana na maelfu ya vifo vitakavyotokea kwenye (developed countries)
Kwa kifupi nasikia kama mungu anatulipia kisasa.
Sent using Jamii Forums mobile app