Ulaya na Marekani wawe makini na siasa za Zanzibar, zinaweza waletea matatizo ya ugaidi nchini kwao

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,902
52,003
Kuna mbinu nyingi wanazotumia magaidi kujisafirisha kwenda ulaya na marekani.Njia mojawapo ni kuanzisha vurugu na sintofahamu kwenye nchi zao ili kutokee vuruguWakianza kubamizwa na vyombo vya dola nchini kwao hutoroka na kukimbilia mataifa ya ulaya na marekani kama wakimbizi wakijifanya wanaonewa kwenye mataifa yao lakini wenye ajenda za kigaidi

Zanzibar kulishawahi tokea machafuko wengine wakatimukia Tanzania bara,wengine somalia,uingereza nk

Sasa hivi CUF zanzibar inafanya choko choko kwa Maalim Seif kujitangaza huko na huko kuwa atamng`oa shein nk Lengo lake ni kutaka Serikali ijibu mapigo wawavurumishe kisha watu wao waombe hifadhi ulaya na marekani,watu ambao nchi hizo haziwajui vizuri.

Marekani na Ulaya nafikiri wanajua vizuri nani alihusika na kulipua ubalozi wa marekani Tanzania alitokea wapi wasijifanye kusahau historia haraka.

Viongozi wengi wa zamani wa Ulaya na Marekani walikuwa wakiijua Zanzibar vizuri kuliko walioko sasa ambao hufumba macho na kujifanya vipofu.

Ushauri wangu hizo nchi zikae mbali na mambo ya CUF.Mchana wataziita nchi za magharibi na Marekani kuwa ni watu wazuri wapenda demokrasia ikifika usiku watawaita makafiri na mashetani ya nchi za magharibi na marekani.

Hao CUF tuachieni wenyewe watanzania nyie endeleeni na shughuli zenu wasiwasumbue vichwa
 
Kuna mbinu nyingi wanazotumia magaidi kujisafirisha kwenda ulaya na marekani.Njia mojawapo ni kuanzisha vurugu na sintofahamu kwenye nchi zao ili kutokee vuruguWakianza kubamizwa na vyombo vya dola nchini kwao hutoroka na kukimbilia mataifa ya ulaya na marekani kama wakimbizi wakijifanya wanaonewa kwenye mataifa yao lakini wenye ajenda za kigaidi

Zanzibar kulishawahi tokea machafuko wengine wakatimukia Tanzania bara,wengine somalia,uingereza nk

Sasa hivi CUF zanzibar inafanya choko choko kwa Maalim Seif kujitangaza huko na huko kuwa atamng`oa shein nk Lengo lake ni kutaka Serikali ijibu mapigo wawavurumishe kisha watu wao waombe hifadhi ulaya na marekani,watu ambao nchi hizo haziwajui vizuri.

Marekani na Ulaya nafikiri wanajua vizuri nani alihusika na kulipua ubalozi wa marekani Tanzania alitokea wapi wasijifanye kusahau historia haraka.

Viongozi wengi wa zamani wa Ulaya na Marekani walikuwa wakiijua Zanzibar vizuri kuliko walioko sasa ambao hufumba macho na kujifanya vipofu.

Ushauri wangu hizo nchi zikae mbali na mambo ya CUF.Mchana wataziita nchi za magharibi na Marekani kuwa ni watu wazuri wapenda demokrasia ikifika usiku watawaita makafiri na mashetani ya nchi za magharibi na marekani.

Hao CUF tuachieni wenyewe watanzania nyie endeleeni na shughuli zenu wasiwasumbue vichwa

Tatizo utoto unakusumbua may be ukiwa utaacha choko choko za kitoto.kachukue buku7 fasta
 
Kuna mbinu nyingi wanazotumia magaidi kujisafirisha kwenda ulaya na marekani.Njia mojawapo ni kuanzisha vurugu na sintofahamu kwenye nchi zao ili kutokee vuruguWakianza kubamizwa na vyombo vya dola nchini kwao hutoroka na kukimbilia mataifa ya ulaya na marekani kama wakimbizi wakijifanya wanaonewa kwenye mataifa yao lakini wenye ajenda za kigaidi

Zanzibar kulishawahi tokea machafuko wengine wakatimukia Tanzania bara,wengine somalia,uingereza nk

Sasa hivi CUF zanzibar inafanya choko choko kwa Maalim Seif kujitangaza huko na huko kuwa atamng`oa shein nk Lengo lake ni kutaka Serikali ijibu mapigo wawavurumishe kisha watu wao waombe hifadhi ulaya na marekani,watu ambao nchi hizo haziwajui vizuri.

Marekani na Ulaya nafikiri wanajua vizuri nani alihusika na kulipua ubalozi wa marekani Tanzania alitokea wapi wasijifanye kusahau historia haraka.

Viongozi wengi wa zamani wa Ulaya na Marekani walikuwa wakiijua Zanzibar vizuri kuliko walioko sasa ambao hufumba macho na kujifanya vipofu.

Ushauri wangu hizo nchi zikae mbali na mambo ya CUF.Mchana wataziita nchi za magharibi na Marekani kuwa ni watu wazuri wapenda demokrasia ikifika usiku watawaita makafiri na mashetani ya nchi za magharibi na marekani.

Hao CUF tuachieni wenyewe watanzania nyie endeleeni na shughuli zenu wasiwasumbue vichwa
Kwa jinsi ulivyoandika hapa...waanze na wewe it seem like unaratibu ugaidi huo...ahsante kwa kujisalimisha mapema
 
Kuna mbinu nyingi wanazotumia magaidi kujisafirisha kwenda ulaya na marekani.Njia mojawapo ni kuanzisha vurugu na sintofahamu kwenye nchi zao ili kutokee vuruguWakianza kubamizwa na vyombo vya dola nchini kwao hutoroka na kukimbilia mataifa ya ulaya na marekani kama wakimbizi wakijifanya wanaonewa kwenye mataifa yao lakini wenye ajenda za kigaidi

Zanzibar kulishawahi tokea machafuko wengine wakatimukia Tanzania bara,wengine somalia,uingereza nk

Sasa hivi CUF zanzibar inafanya choko choko kwa Maalim Seif kujitangaza huko na huko kuwa atamng`oa shein nk Lengo lake ni kutaka Serikali ijibu mapigo wawavurumishe kisha watu wao waombe hifadhi ulaya na marekani,watu ambao nchi hizo haziwajui vizuri.

Marekani na Ulaya nafikiri wanajua vizuri nani alihusika na kulipua ubalozi wa marekani Tanzania alitokea wapi wasijifanye kusahau historia haraka.

Viongozi wengi wa zamani wa Ulaya na Marekani walikuwa wakiijua Zanzibar vizuri kuliko walioko sasa ambao hufumba macho na kujifanya vipofu.

Ushauri wangu hizo nchi zikae mbali na mambo ya CUF.Mchana wataziita nchi za magharibi na Marekani kuwa ni watu wazuri wapenda demokrasia ikifika usiku watawaita makafiri na mashetani ya nchi za magharibi na marekani.

Hao CUF tuachieni wenyewe watanzania nyie endeleeni na shughuli zenu wasiwasumbue vichwa

Ndiyo umeamua kumwanga kinyesi chako hapa?
 
Ukiona ccm wenzako wamekimbia uzi wako ujue umeharisha sana mpaka wanaona aibu kuweka nyayo zao!
Huu ni uzuzu wa kiwango cha juu!
 
Ha ha ha, mleta hoja yuko smart sana. Sasa anatumia suala la ugaidi kujaribu kulainisha mioyo ya waliojitoa kuisaidia ZNZ kwa sababu ya kuvurugwa uchaguzi? No, no, suck it up, au kama waswahili tunavyosema.. "ukilikoroga linywe mwenyewe...."
 
eti unawashauri wamarekani wakati akili yako mwenyewe ni kama MB 8
 
Kuna mbinu nyingi wanazotumia magaidi kujisafirisha kwenda ulaya na marekani.Njia mojawapo ni kuanzisha vurugu na sintofahamu kwenye nchi zao ili kutokee vuruguWakianza kubamizwa na vyombo vya dola nchini kwao hutoroka na kukimbilia mataifa ya ulaya na marekani kama wakimbizi wakijifanya wanaonewa kwenye mataifa yao lakini wenye ajenda za kigaidi

Zanzibar kulishawahi tokea machafuko wengine wakatimukia Tanzania bara,wengine somalia,uingereza nk

Sasa hivi CUF zanzibar inafanya choko choko kwa Maalim Seif kujitangaza huko na huko kuwa atamng`oa shein nk Lengo lake ni kutaka Serikali ijibu mapigo wawavurumishe kisha watu wao waombe hifadhi ulaya na marekani,watu ambao nchi hizo haziwajui vizuri.

Marekani na Ulaya nafikiri wanajua vizuri nani alihusika na kulipua ubalozi wa marekani Tanzania alitokea wapi wasijifanye kusahau historia haraka.

Viongozi wengi wa zamani wa Ulaya na Marekani walikuwa wakiijua Zanzibar vizuri kuliko walioko sasa ambao hufumba macho na kujifanya vipofu.

Ushauri wangu hizo nchi zikae mbali na mambo ya CUF.Mchana wataziita nchi za magharibi na Marekani kuwa ni watu wazuri wapenda demokrasia ikifika usiku watawaita makafiri na mashetani ya nchi za magharibi na marekani.

Hao CUF tuachieni wenyewe watanzania nyie endeleeni na shughuli zenu wasiwasumbue vichwa
Uko kama kungwi umechokaa hakuna anae kutaka umebaki kuwa kungwi ufurahie mwari anavyo ........chumbani..
Kwani ungekaa kimya ungekosa nini?
 
Kwanza ccm mkae mkijua mmarikani hana rafiki wa kudumu ana maslahi ya kudumu kama anaelekea kuwachoka bas mjipange
 
Back
Top Bottom