Mhache
JF-Expert Member
- Jun 20, 2008
- 345
- 24
Je ulawiti wanaofanyiwa watoto wa kiume ni tatizo la jamii au la kisaikologia? Nimepata taarifa nisizokuwa na ushahidi nazo wa kutosha kwamba wanafunzi wa darasa la pili na la tatu katika shule moja ya msinigi iliyopo Sinza karibu na Vatican Bar wanafanyiwa mchezo mchafu na mzee/kijana mmoja ambaye mpaka sasa hajajulikna.
Tatizo la kulawitiwa vijana hao wa kiume lipojulikana lilipelekwa kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo. Mwalimu huyo hakuonyesha jitihada zozote katika kutatua tatizo hilo ila alikaa kimya. Kwani watoto hao walikuwa hata kukaa hawawezi. Midomo ilishaanza kubadilika na kuwa kama ya mnywa gongo au kuchubuka na kupasuka. Je kitaalamu hilo ni tatizo la kuwa wamepata uambukizo au vipi.
Baada ya tatizo hilo kuwa sugu walimu wa afya shuleni hapo waliwaita wazazi wa watoto hao na kujadili suala hilo. Wazazi wengine walikaribia kuzimia kwa mshtuko kwani hawakuwadhania watoto wao. Baada ya hapo wazazi walikubaliana kuripoti suala hilo polisi na baadaye kwenda kuwapima afya watoto wao.
Ushauri ninaoutoa ni vizuri wazazi tuwe na utamaduni wa kufuatilia nyendo na maendeleo ya watoto wetu kila mara na kila siku. Kwani vijana hao waliolawitiwa walikiri kutishiwa maisha na mlawiti huyo kama watatoa siri. Watoto wakabaki wakiugulia moyoni.
Baada ya kikao cha walimu wa shule hiyo na wazazi sijajua kilichoendelea.
Tatizo la kulawitiwa vijana hao wa kiume lipojulikana lilipelekwa kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo. Mwalimu huyo hakuonyesha jitihada zozote katika kutatua tatizo hilo ila alikaa kimya. Kwani watoto hao walikuwa hata kukaa hawawezi. Midomo ilishaanza kubadilika na kuwa kama ya mnywa gongo au kuchubuka na kupasuka. Je kitaalamu hilo ni tatizo la kuwa wamepata uambukizo au vipi.
Baada ya tatizo hilo kuwa sugu walimu wa afya shuleni hapo waliwaita wazazi wa watoto hao na kujadili suala hilo. Wazazi wengine walikaribia kuzimia kwa mshtuko kwani hawakuwadhania watoto wao. Baada ya hapo wazazi walikubaliana kuripoti suala hilo polisi na baadaye kwenda kuwapima afya watoto wao.
Ushauri ninaoutoa ni vizuri wazazi tuwe na utamaduni wa kufuatilia nyendo na maendeleo ya watoto wetu kila mara na kila siku. Kwani vijana hao waliolawitiwa walikiri kutishiwa maisha na mlawiti huyo kama watatoa siri. Watoto wakabaki wakiugulia moyoni.
Baada ya kikao cha walimu wa shule hiyo na wazazi sijajua kilichoendelea.