Ukwepaji Kodi: Barua ya TRA kwa Bakhressa

Ukwepaji Kodi: Barua ya TRA kwa Bakhressa

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,881
Reaction score
6,374
attachment.php


Mamlaka ya Mapato Tanzania imezuia kampuni ya Bakhresa kupeleka makontena yake katika bandari yake kavu.

Hii ni kutokana na baadhi ya makontena kugundulika kuwa yalipitishwa bila kulipa kodi.
attachment.php
 

Attachments

  • TRA vs Bakhressa.jpg
    TRA vs Bakhressa.jpg
    19.4 KB · Views: 72,422
Najaribu kufikiria for ten years kama mchezo ulikuwa huu jamaa kavuna kiasi gani, Jk naye bila aibu akaenda kufungua ile studio ya azam pale tabata kumbe ni jasho letu.........mbwa kweli hawa watu.

Operesheni ya kurudisha heshima ya nchi ndio hii.
 
Ili kuwa ten good years ya kuneemesha wafanyabiashara "wagonga vichwa sakafuni" kwa jasho la watz masikini kabisa. Wakwepa kodi wakubwa wote ni "wagonga vichwa sakafuni"
Mwisho wao umefika warudi tuu Oman
 
ICD zote huwa na officer wa TRA anayeruhusu mzigo kutoka,mmiliki haruhusu mzigo kutoka.Hapa sioni kosa la Bakhresa labda kama kuna ajenda nyingine.
Kina John Paulo huwa hawakwepi kodi?
 
Ili kuwa ten good years ya kuneemesha wafanyabiashara "wagonga vichwa sakafuni" kwa jasho la watz masikini kabisa. Wakwepa kodi wakubwa wote ni "wagonga vichwa sakafuni"
Mwisho wao umefika warudi tuu Oman

na kina meng warudi kilimanjaro,kila mji ubaki na watu wake ndio ulivyomaanisha?
 
mh tra wamebanwa wanatafuta kwa kutokea,kwa bakhresa mmechemsha
 
Ili kuwa ten good years ya kuneemesha wafanyabiashara "wagonga vichwa sakafuni" kwa jasho la watz masikini kabisa. Wakwepa kodi wakubwa wote ni "wagonga vichwa sakafuni"
Mwisho wao umefika warudi tuu Oman
Uwezo wako wa kufikiri ndiyo umeishia hapo,ndiyo maana mnafungishana ndoa wenyewe kwa wenyewe za suruali kwa suruali
 
the untouchables are being touched now,i wonder how much tax he has evaded over the ten years...janatul firdaus ni ngumu kuiona kwa style hii.

upate uhakika ndio utamke hayo maneno yako ukiropoka tu bila tafakuri ntakuona kama ------.
 
ICD zote huwa na officer wa TRA anayeruhusu mzigo kutoka,mmiliki haruhusu mzigo kutoka.Hapa sioni kosa la Bakhresa labda kama kuna ajenda nyingine.
Kina John Paulo huwa hawakwepi kodi?

baada ya wagalatia wengi kuondolewa pale tra wana chuki sana
 
Dhambi mbaya sana, yaani mtu tajiri kama Bakhressa anakwepa kulipa kodi?

sio kwamba amekwepa kodi. hayo mkontena yamepita bandari yake bila kulipiwa kodi. maafisa wa TRA hapo kwake ndo wamecheza mchezo. yeye amesimamishwa kupokea mizigo kwa kuwa hakuisaidia serikali kukusanya kodi hapo bandari kavu kwake kama masharti yanavyoelekeza. hapo bakhresa hausiki, ila watendaji wa TRA na wale aliowaamini kuendesha ICD yake! inaonekana hayo makontena yalitoka bila ya kuwa na 'release order' kitu ambacho wangetakiwa kushtuka na kuripoti mapema ila hawakufanya hivyo na ndio maana wanaadhibiwa!
 
tujiulize kidogo bakhresa anafanya kazi bandari?hawa tra malofa kweli walete data zinazoonyesha kiasi alichokwepa kihalali kabisa sio upuuzi huu
 
Back
Top Bottom