Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,127
- 11,908
Habari za weekend wanaJF, natumaini mu wazima na wenye afya tele.
Kumekuwa na wimbi kubwa la watu kuhisiwa kupotea katika mazingira tatanishi naamini wengi wetu humu mmeshawea kukutana na baadhi ya msg zinazotoa taarifa ya hivyo. Ktk tafakari yangu nimeamua kujiuliza maswali mengi sana na haya yote ni baada ya kupokea msg za mtindo huo kwa muda mrefu sana. Licha ya hivyo kuna wale wengine wa jamii hii hii wao kazi yao ni kutafuta mabwana au waume uko ughaibuni, huwa wakijinadi kuwa wanataka bwana ambaye atawaridhisha kutokana na kiu yao, ama bwana ambaye atamsahidia ktk masomo yake, Maisha yaani ulipaji kodi za nyumba na kulea watoto.
Nimeamua ku base Zaidi kwa hawa wanadada wenye utamaduni wa kuvaa vile vitambaa vya kuzungushia kichwa (ijab) ambao mara nyingi uripotiwa kupotea.
Msg au jumbe hizo za sauti huwa nataarifa kama:
“Fulani binti Fulani amepote, jana aliaga anakwenda kwa ndugu Fulani lkn ilipofikia saa Fulani tulipigiwa simu na mtu mwenye jinsia ya Me akisema amekufa”
Figure 1 MOJA YA UJUMBE WENYE TAARIFA NILIYO I-QUOTE HAPO JUU
(Nimeshindwa ku attach hiyo audio)
Nyingine ni hii:
Na nyinginezo nyingi ambazo nimekuwa nikipokea kutoka kwa watu tofauti tofauti bahatimbaya nyingine nilikwisha zifutaga kabla sijapata wazo hili.
Hivyo basi kutokana na hii kasumba inayo wapata sana hawa mabinti na wanawake wa jamii hii, nikapata kawazo kadogo kakutaka kuwa mdadisi (researcher) juu ya hii issue. Maswali yalio nizukia ni kama:
· Kwanini case nyingi za kupotea kwao zinawahusishwa utata katika mazingira ya kupotea?
· Je huwa na tabia ambazo zinapelekea vitendo vya kisasi?
· Je kuna uhusiano labda na mambo ya Imani potofu?
Mimi kama Avatar mok, nipo interested ku carry out hii research ndogo, nimeileta hapa niweze pata baadhi ya mawazo tofauti kutoka kwenu, ninampango wakuandikia Makala fupi juu ya hili jambo. Baada ya kukusanya data zote nitakuja na mrejesho wa ukweli juu ya hizi ishu zinazoendelea hapa nchini.
naruhusu kukosoa kwa hoja, na sio MIHEMKO
Nawakaribisha wote
Kumekuwa na wimbi kubwa la watu kuhisiwa kupotea katika mazingira tatanishi naamini wengi wetu humu mmeshawea kukutana na baadhi ya msg zinazotoa taarifa ya hivyo. Ktk tafakari yangu nimeamua kujiuliza maswali mengi sana na haya yote ni baada ya kupokea msg za mtindo huo kwa muda mrefu sana. Licha ya hivyo kuna wale wengine wa jamii hii hii wao kazi yao ni kutafuta mabwana au waume uko ughaibuni, huwa wakijinadi kuwa wanataka bwana ambaye atawaridhisha kutokana na kiu yao, ama bwana ambaye atamsahidia ktk masomo yake, Maisha yaani ulipaji kodi za nyumba na kulea watoto.
Nimeamua ku base Zaidi kwa hawa wanadada wenye utamaduni wa kuvaa vile vitambaa vya kuzungushia kichwa (ijab) ambao mara nyingi uripotiwa kupotea.
Msg au jumbe hizo za sauti huwa nataarifa kama:
“Fulani binti Fulani amepote, jana aliaga anakwenda kwa ndugu Fulani lkn ilipofikia saa Fulani tulipigiwa simu na mtu mwenye jinsia ya Me akisema amekufa”
Figure 1 MOJA YA UJUMBE WENYE TAARIFA NILIYO I-QUOTE HAPO JUU
(Nimeshindwa ku attach hiyo audio)
Nyingine ni hii:
Na nyinginezo nyingi ambazo nimekuwa nikipokea kutoka kwa watu tofauti tofauti bahatimbaya nyingine nilikwisha zifutaga kabla sijapata wazo hili.
Hivyo basi kutokana na hii kasumba inayo wapata sana hawa mabinti na wanawake wa jamii hii, nikapata kawazo kadogo kakutaka kuwa mdadisi (researcher) juu ya hii issue. Maswali yalio nizukia ni kama:
· Kwanini case nyingi za kupotea kwao zinawahusishwa utata katika mazingira ya kupotea?
· Je huwa na tabia ambazo zinapelekea vitendo vya kisasi?
· Je kuna uhusiano labda na mambo ya Imani potofu?
Mimi kama Avatar mok, nipo interested ku carry out hii research ndogo, nimeileta hapa niweze pata baadhi ya mawazo tofauti kutoka kwenu, ninampango wakuandikia Makala fupi juu ya hili jambo. Baada ya kukusanya data zote nitakuja na mrejesho wa ukweli juu ya hizi ishu zinazoendelea hapa nchini.
naruhusu kukosoa kwa hoja, na sio MIHEMKO
Nawakaribisha wote