Ukweli wa kifo cha Kighoma Ally Malima ni upi?

Je rukwa hujawai kwenda ukafanye tafiti wanaona wakiwa naumri gani wewe unachokosea ni kuchanganya mila na dini kilasehemu watu wanamila zao uislam haumlazimishi mtu kumuodhesha mtoto kuhusu kutafsiri lugha sio hoja kwani hiyo sio lugha yao hata wewe kiha hujuwi kisukuma hujuwi kimasai pia hujuwi ndio mfumo uliotengenezwa ilikuwafanya watu wasitoke mapema iliwasijue haki zao alafu mtumwingine anakwambia kiswahili kinafaida kweli hili nenofaida linamaana yake sehem nyingine kiingereza hakisomewi nilugha kama zingine wakati wewe unaona huo usomi tuangalie nimkweli uislam unazuia mtu kusoma Zanzibar kabla muungano ilikuwa inazalisha wasomi wengi . pili hawo ambao wenyehiyo imani ambao wamesoma nini wameisaidia nchi nini zaidi yakufisadi kila kitu kwakuwa elimu niyakibaguzi nawao badala ya kuitumikia jamii wanatumikia taasisi Leo taasisi inakuwa tajiri sekali inafirisika madeni kibao hapa ndipo tz tunachelewa mzee magu ukikaza hapa tumetoboa sasa utasikia huu niuchochezi wakati nimkweli ndio maana wadau wanaomba mfumo waelimu ufumuliwe kila sehemu wamejaa watumikia mfumo utasikia kamata huyo ngoja tuone kama magu ataweza badili kitu ilibaadae tumshukuru au tumlaumu
Mkuu mimi ni mtu mzima, nimeshaishi kwenye hii dunia kwa zaidi ya miongo minne.

Naelewa ninachokiandika humu ndani, kumekuwepo na tabia ya kuwavunja nguvu wale wanaosoma haswa hizi elimu za kimagharibi, kwa upande wa waislam.

Jirani yangu mtoto wa kike kamaliza form four mwaka juzi kapewa mimba kazaa, sasa hivi anashinda nyumbani na wazazi wake pamoja na mwanae, wazazi wameridhika kabisa kwa sababu dada za huyu binti na wao waliishia kidato cha nne au darasa la saba na wakapata uja uzito!, aliomaliza nao shule wapo form six wanasonga mbele.

Hakuna namna ambayo huyu aliyeishia kidato cha nne atakuja kuwa katika maisha ya ngazi moja na wenzake wanaoendelea kupata elimu.
 
Mkuu awamu ya tano inatumia shilingi bilioni 18.77 kwa ajili ya kusomesha wanafunzi bure, visitafutwe visingizio vyovyote vile vya kuikwepa elimu ya darasani.

Maongezi mengine yote ni mazungumzo baada ya habari, cha muhimu ni kuikamata elimu kwa nguvu zote, tuendako hakuna kabisa huruma kwa mtu mmoja mmoja.
We bwana kila mtu anatambua hata uislam unasema tukatafute elimu mpaka uchina kutumia gharama hiyo sawa lakini je nibora?kwamaana hakuna walimu wasayansi maabara nimajengo tu
 
Mkuu mimi ni mtu mzima, nimeshaishi kwenye hii dunia kwa zaidi ya miongo minne.

Naelewa ninachokiandika humu ndani, kumekuwepo na tabia ya kuwavunja nguvu wale wanaosoma haswa hizi elimu za kimagharibi, kwa upande wa waislam.

Jirani yangu mtoto wa kike kamaliza form four mwaka juzi kapewa mimba kazaa, sasa hivi anashinda nyumbani na wazazi wake pamoja na mwanae, wazazi wameridhika kabisa kwa sababu dada za huyu binti na wao waliishia kidato cha nne au darasa la saba na wakapata uja uzito!, aliomaliza nao shule wapo form six wanasonga mbele.

Hakuna namna ambayo huyu aliyeishia kidato cha nne atakuja kuwa katika maisha ya ngazi moja na wenzake wanaoendelea kupata elimu.
Nisawa kitu ninacho kukatalia nikulazimisha tendo hilo ambalo unaona sio zuri nauislamu he hakuna wakiristo waliopewa mimba wakakatisha masomo tuite huoniukiristo? Tabia,mila yamtu usinasibishe kuwa ndio dini yake inamtuma
 
Nisawa kitu ninacho kukatalia nikulazimisha tendo hilo ambalo unaona sio zuri nauislamu he hakuna wakiristo waliopewa mimba wakakatisha masomo tuite huoniukiristo? Tabia,mila yamtu usinasibishe kuwa ndio dini yake inamtuma
Mkuu sinasibishi tabia ya mtu na dini yake. Tusitoke nje ya mada, cha muhimu ni kuishika elimu kwa nguvu zote.

Unautetea uislam lakini ninachokwambia ninakifahamu vyema, nimeishi Tanga mjini, nimejionea namna ambavyo kuna msisitizo mdogo sana wa elimu kwa jamii ya kiislam. Hiyo hali inapaswa kubadilika.
 
Kumbe mnaenda. sasa mnalalamika nini! acheni udini watu wazima. Nchi hii ni moja, ni ya Watanzania wote. Kwa nini nyie kila kitu mnataka mgawo maalum kama vitu maalum vya wanawake bungeni!


Waislamu hufanya makusudi.

Kulalamika mara kwa mara na kupiga sana kelele ni mbinu kwao, ili wapate zaidi na zaidi, na wapate hata wasivyo stahili kupata.

Fuatilia kwa makini utagundua.
 
sasa mdini nani kama sio nyie!?..mliojimilikisha wizara ya elimu tangu Uhuru had I 1988!?..kama haikutosha padri akawa waziri..matokeo yake mnafaulu nyinyi tu?!..huoni kama kuna walakini hapo..huoni kama kuna udini hapo?
Ni kawaida yenu kulazimisha sababu
Kufeli mfeli wenyewe lawama mwawatupia wakristo
 
waislam walijua umihimu wa elimu siku nyingi..lakini taasisi iliyokua ikijenga shule na ktaka kujenga vyuo vikuu nyerere akaiua mwaka 1968 akaunda bakwata..umemuona nani mdini?
Ha! ha! ha! kama ilivyo ada yenu mkishindwa jambo lazima mtafute pakutupia lawama
Kwenye chuo kikuu meona mumsingizie Nyerere
 
Mkuu sinasibishi tabia ya mtu na dini yake. Tusitoke nje ya mada, cha muhimu ni kuishika elimu kwa nguvu zote.

Unautetea uislam lakini ninachokwambia ninakifahamu vyema, nimeishi Tanga mjini, nimejionea namna ambavyo kuna msisitizo mdogo sana wa elimu kwa jamii ya kiislam. Hiyo hali inapaswa kubadilika.
We umetumwa mkuu au upo humu kupaza ukiristo nakuutupia uislam mabaya nimesema nabii wa mungu Muhammad sw aliisha tuambia tuitafute elimu mpaka uchina VIP Leo uislam ukatae elimu hii inatengenezwa ilikutubagua kwa kuangalia sehemu na watu wachache ili ionekane jamii yote yakislam haikusoma lakini wapi wasomi wengi tu nimekutolea mfano rukwa kule wakiristo niwengi ndoa zipo zavijana wadogo lakini wapo waliosoma sio wote hawakusoma lakini wewe unataka aminisha waislam hawaitaki elimu tatizo mfumo ndio shida juhudi zinafanyika ila mfumo sio rafiki kama nahapo bado utaendelea kubisha siwezi kukujibu tena
 
Mbona
We umetumwa mkuu au upo humu kupaza ukiristo nakuutupia uislam mabaya nimesema nabii wa mungu Muhammad sw aliisha tuambia tuitafute elimu mpaka uchina VIP Leo uislam ukatae elimu hii inatengenezwa ilikutubagua kwa kuangalia sehemu na watu wachache ili ionekane jamii yote yakislam haikusoma lakini wapi wasomi wengi tu nimekutolea mfano rukwa kule wakiristo niwengi ndoa zipo zavijana wadogo lakini wapo waliosoma sio wote hawakusoma lakini wewe unataka aminisha waislam hawaitaki elimu tatizo mfumo ndio shida juhudi zinafanyika ila mfumo sio rafiki kama nahapo bado utaendelea kubisha siwezi kukujibu tena
Mbona sasa hamuwekezi katika elimu. Wakristo nchi hii wana Vyuo Vikuu kibao, nyie hata ile moja ambayo majengo mlipewa bureee (Muslimu University, Morogoro) na serikali hata kuongeza majengo mmeshindwa.
 
We umetumwa mkuu au upo humu kupaza ukiristo nakuutupia uislam mabaya nimesema nabii wa mungu Muhammad sw aliisha tuambia tuitafute elimu mpaka uchina VIP Leo uislam ukatae elimu hii inatengenezwa ilikutubagua kwa kuangalia sehemu na watu wachache ili ionekane jamii yote yakislam haikusoma lakini wapi wasomi wengi tu nimekutolea mfano rukwa kule wakiristo niwengi ndoa zipo zavijana wadogo lakini wapo waliosoma sio wote hawakusoma lakini wewe unataka aminisha waislam hawaitaki elimu tatizo mfumo ndio shida juhudi zinafanyika ila mfumo sio rafiki kama nahapo bado utaendelea kubisha siwezi kukujibu tena
Hao maprofesa waislam kina Mbarawa na wengineo wamesoma katika mfumo upi?. Usiusingizie mfumo, peleka shule ndugu na jamaa zako wakasome, waje kuifaa Tanzania ya kesho.
Halafu kwanini kujitambulisha kwa dini kwanza badala ya kujitambulisha kwa utanzania kwanza?. Huoni kwamba kwa kufanya hivyo mnajenga roho ya ubaguzi?.
Kwanini kinyongo kitangulizwe mbele kwenye maisha haya ambayo ni mafupi?.
 
Akiwa waziri wa fedha alikwapua fedha kibao za wananchi na kupeleka nje ya nchi (switzland). Halafu aliunda chama chake cha siasa chenye harufu kali ya udini. Inasemekana wakubwa waliiona hiyo na kuandaa mipango ya kuzirejesha fedha hizo nchini. Mungu bariki mipango ilifanikiwa na fedha zote zilirejeshwa BoT. Babu wa watu alipoenda kuchukua hela kiasi ili aendelee na mipango yake ya kuimarisha chama aliambiwa hakuna kitu. Alishikwa na mshtuko mkubwa kiasi cha mwili kushindwa kuhimili. Akakata roho palepale. That's all about Malima.
Jamaa muhongo wewe!
 
Nauache kuzungumza mambo yafamilia zawatu haikuhusu wala familia hiyo wewe siomsemji nakuhusu uwakala washetani wewe ndio muhusika unamuomba mtu akusamehe zambi nakuabudu samanamu
Punguza povu mkuu, nimetumia familia hiyo kama mfano tu. Hili ni jukwaa huru, ujenzi mzuri wa hoja ndio unaotakiwa.

Elimu ya dunia ni muhimu na hakuna anayemuonea mwenzake, mbona mabosi wa mamlaka kubwa nchini baadhi ni waislam na wanafanya mambo makubwa tu?. Elimu dunia ndio kila kitu.
 
Akiwa waziri wa fedha alikwapua fedha kibao za wananchi na kupeleka nje ya nchi (switzland). Halafu aliunda chama chake cha siasa chenye harufu kali ya udini. Inasemekana wakubwa waliiona hiyo na kuandaa mipango ya kuzirejesha fedha hizo nchini. Mungu bariki mipango ilifanikiwa na fedha zote zilirejeshwa BoT. Babu wa watu alipoenda kuchukua hela kiasi ili aendelee na mipango yake ya kuimarisha chama aliambiwa hakuna kitu. Alishikwa na mshtuko mkubwa kiasi cha mwili kushindwa kuhimili. Akakata roho palepale. That's all about Malima.


Viongozi wa kibongo bwana, yaani alishituka baada ya kukuta hela za wananchi wa Tanzania zimerudishwa? Yeye alikuwa mwizi wa umma na hakuwa na haki ya kumiliki kitu kisicho chake, alipata alichostahili na mwizi siku zote haonewi huruma hata siku moja.
 
Je rukwa hujawai kwenda ukafanye tafiti wanaona wakiwa naumri gani wewe unachokosea ni kuchanganya mila na dini kilasehemu watu wanamila zao uislam haumlazimishi mtu kumuodhesha mtoto kuhusu kutafsiri lugha sio hoja kwani hiyo sio lugha yao hata wewe kiha hujuwi kisukuma hujuwi kimasai pia hujuwi ndio mfumo uliotengenezwa ilikuwafanya watu wasitoke mapema iliwasijue haki zao alafu mtumwingine anakwambia kiswahili kinafaida kweli hili nenofaida linamaana yake sehem nyingine kiingereza hakisomewi nilugha kama zingine wakati wewe unaona huo usomi tuangalie nimkweli uislam unazuia mtu kusoma Zanzibar kabla muungano ilikuwa inazalisha wasomi wengi . pili hawo ambao wenyehiyo imani ambao wamesoma nini wameisaidia nchi nini zaidi yakufisadi kila kitu kwakuwa elimu niyakibaguzi nawao badala ya kuitumikia jamii wanatumikia taasisi Leo taasisi inakuwa tajiri sekali inafirisika madeni kibao hapa ndipo tz tunachelewa mzee magu ukikaza hapa tumetoboa sasa utasikia huu niuchochezi wakati nimkweli ndio maana wadau wanaomba mfumo waelimu ufumuliwe kila sehemu wamejaa watumikia mfumo utasikia kamata huyo ngoja tuone kama magu ataweza badili kitu ilibaadae tumshukuru au tumlaumu
Mkuu pambana na hali yako, haya mengine yatakuumiza moyo pasipo sababu.
 
Akiwa waziri wa fedha alikwapua fedha kibao za wananchi na kupeleka nje ya nchi (switzland). Halafu aliunda chama chake cha siasa chenye harufu kali ya udini. Inasemekana wakubwa waliiona hiyo na kuandaa mipango ya kuzirejesha fedha hizo nchini. Mungu bariki mipango ilifanikiwa na fedha zote zilirejeshwa BoT. Babu wa watu alipoenda kuchukua hela kiasi ili aendelee na mipango yake ya kuimarisha chama aliambiwa hakuna kitu. Alishikwa na mshtuko mkubwa kiasi cha mwili kushindwa kuhimili. Akakata roho palepale. That's all about Malima.
Sio kweli pia acha ukafiri na unafiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom