Ukweli wa ajali ya ndege Kisarawe

Ukweli wa ajali ya ndege Kisarawe

Full charge

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
1,712
Reaction score
1,661
Habari za muda huu wakuu.

Kuna taarifa za ndege kuanguka huko mkoani Pwani (Kisarawe) zinazoleta taharuki kidogo. Je, kuna watu labda wamebahatika kushuhudia au wenye ukweli wa taarifa yenyewe?

Mamlaka imesema kuwa sio ajali bali ni mazoezi ya uokoaji pindi linapotokea suala kama hili, sasa maswali yanaibuka kutokana na mwonekano wa ajali katika picha za uokoaji:

Je, mazoezi hayo huhusisha abiria wa kawaida au ni jeshi la uokoaji pekee?

Je, zoezi linahusisha abiria kujeruhiwa au kupoteza maisha katika kukamilisha zoezi hilo?

Je wananchi hupewa taarifa za mazoezi hayo ili wajiandae kiakili maana picha zinonesha watu kujeruhiwa vibaya kama sio kufa?

Screenshot_20230727-174831_Instagram.jpg


Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Na hiyo ni ndege ya mabua ambayo haina gharama ama?

Mna bahati sana sio darfur hapo
Sijui mngeficha nini na mngesema kitu gani

Yaani Latin America kila dakika 60 kuna mtu anatekwa
Na 70% ya hao huwa hawaponi
Ila bado wanatangaza
 
Back
Top Bottom