Ukweli usemwe, mwaka huu wa 2020 ndiyo mwisho wa CHADEMA kuwa chama kikuu cha Upinzani

mwananyaso

JF-Expert Member
Feb 19, 2017
2,843
3,128
Hali inavyojionyesha ni kwamba chama kikuu cha upinzani nchini chadema kimeporomoka sana umaarufu wake.

Ni imani yangu kinafuata njia iliopitwa na NCCR Mageuzi, TLP na CUF.

Hili limetokana na uongozi mbovu ngazi ya kitaifa, uongozi usiokubali makosa na kushaurika, mengi yamesemwa na wadau juu ya namna bora ya kukijenga na kukiimarisha, lakini mawazo hayo yalipuuzwa, na watoa maoni kushambuliwa kwa matusi na dhihaka nyingi, hivyo kuamua kukaa kimya kama watazamaji.

Kama ilivyo ada, mwanasiasa au mwananchi mfuasi wa chama chochote cha siasa huwa na malengo, kwake binafsi, kwa jamii inayomzunguka na taifa lake kwa ujumla. Malengo hayo yasipokuwa na dalili ya kutimia hutafuta namna nyingine ya kuyafikia.

Inavyoonekana, Chadema ishiriki, isishiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020, itaporomoka sana tu na kupoteza nafasi ya chama kikuu cha upinzani nchini.

Na hapa asitafutwe mchawi nje ya chama hiki, mchawi yupo ndani ya chama chenyewe.

Kuna usemi wa wahenga usemao "Kila lenye mwanzo lina mwisho wake", "Asiyesikia la mkuu huvunjika guu" na "Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Iddi". Haya kufikia mwezi October yataanza kudhihirika wazi kabisa.

Nihitimishe kwa kusema chama kitakacho kuja mbadala wa Chadema, na hili halina mjadala, kitatakiwa kujifunza kupitia makosa haya, kama kweli kitakuwa na nia ya kuleta mabadiliko ya kiuongozi nchini. Hata ikibidi kujifunza namna bora ya kuendesha chama kwa kuiga CCM kinavyoendeshwa.

Nakaribisha maoni tofauti na yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja wafuasi wa kamanda msaliti waje uone mitusi watakayokuporomoshea.

Chadema hawataki kusikia chochote toka kwa mtu mwingine yeyote, zaidi ya 'kudumisha fikra sahihi za mfalme Mbowe'.

Nilisikia walisema watasusia uchaguzi kama walivyosusia ule wa serikali za mitaa. Ngoja tuone watakavyojiharakishia kifo.
 
Huko ndani ya CCM wana %kubwa CCM wamemchoka Mwenyekiti sema ndo Vile Kashika rungu, Kama anajiamini Kipigwe Fair kuanzia ndani ya Ccm mpaka uchaguzi Mkuu

Na % Kubwa Sana Ya Watanzania Wamemchoka Rais Wao kawafanya Wawe Na Maisha magumu sana Mzunguko wa pesa hakuna, Wafanyakazi ndo kabisa hawataki hata Kumsikia,.

UCHAGUZI UWE HURU NA HAKI UONE ANAVYOGALAGAZWA KUANZIA NDANI YA CCM HUKU KWA WANANCHI HAFIKI
 
Wewe akili zako ndogo u anaketa porojo kwenye maisha ya watu?
Au umegeuka mtabili?
Muulize Wasira atakuambia, yeye alitabili Chadema kufutika 2015, akafutika yeye.
Na wewe unaelala sebureni kwa dada yako unakuja na hadithi za abunuasi!!
Elewa nilichoandika ,sijasema upinzani haupo nchini ,upinzani upo ,ispokua chama madhubuti cha kuvusha mawazo hayo kinzani hakipo kwa sasa,mpaka hapo baadae


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pompeo tunamsubili kwa hamu, aingilie kati huu mchezo
Huko ndani ya CCM wana %kubwa CCM wamemchoka Mwenyekiti sema ndo Vile Kashika rungu, Kama anajiamini Kipigwe Fair kuanzia ndani ya Ccm mpaka uchaguzi Mkuu

Na % Kubwa Sana Ya Watanzania Wamemchoka Rais Wao kawafanya Wawe Na Maisha magumu sana Mzunguko wa pesa hakuna, Wafanyakazi ndo kabisa hawataki hata Kumsikia,.

UCHAGUZI UWE HURU NA HAKI UONE ANAVYOGALAGAZWA KUANZIA NDANI YA CCM HUKU KWA WANANCHI HAFIKI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ndiyo ukweli na tunafurahi cdm kuwa mwisho wao wa kuwa chama kikuu cha upinzani utakuja na neema maana kutaufanya uchumi wetu wa taifa kukua kwa 7% mwananyaso,

In God we Trust
 
Je unakubali kwamba mwaka huu 2020 chadema kinakua sio chama kikuu cha upinzani?
Huko ndani ya CCM wana %kubwa CCM wamemchoka Mwenyekiti sema ndo Vile Kashika rungu, Kama anajiamini Kipigwe Fair kuanzia ndani ya Ccm mpaka uchaguzi Mkuu

Na % Kubwa Sana Ya Watanzania Wamemchoka Rais Wao kawafanya Wawe Na Maisha magumu sana Mzunguko wa pesa hakuna, Wafanyakazi ndo kabisa hawataki hata Kumsikia,.

UCHAGUZI UWE HURU NA HAKI UONE ANAVYOGALAGAZWA KUANZIA NDANI YA CCM HUKU KWA WANANCHI HAFIKI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msamehe huyo dogo maana ndiyo kwanza kanunuliwa ka smartphone na shemeji yake na ni kula na kulala bure kwa shemeji yake diwani wa ccm
Wewe akili zako ndogo u anaketa porojo kwenye maisha ya watu?
Au umegeuka mtabili?
Muulize Wasira atakuambia, yeye alitabili Chadema kufutika 2015, akafutika yeye.
Na wewe unaelala sebureni kwa dada yako unakuja na hadithi za abunuasi!!

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Hali inavyojionyesha ni kwamba chama kikuu cha upinzani nchini chadema kimeporomoka sana umaarufu wake.

Ni imani yangu kinafuata njia iliopitwa na NCCR Mageuzi, TLP na CUF.

Hili limetokana na uongozi mbovu ngazi ya kitaifa, uongozi usiokubali makosa na kushaurika, mengi yamesemwa na wadau juu ya namna bora ya kukijenga na kukiimarisha, lakini mawazo hayo yalipuuzwa, na watoa maoni kushambuliwa kwa matusi na dhihaka nyingi, hivyo kuamua kukaa kimya kama watazamaji.

Kama ilivyo ada, mwanasiasa au mwananchi mfuasi wa chama chochote cha siasa huwa na malengo, kwake binafsi, kwa jamii inayomzunguka na taifa lake kwa ujumla. Malengo hayo yasipokuwa na dalili ya kutimia hutafuta namna nyingine ya kuyafikia.

Inavyoonekana, Chadema ishiriki, isishiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020, itaporomoka sana tu na kupoteza nafasi ya chama kikuu cha upinzani nchini.

Na hapa asitafutwe mchawi nje ya chama hiki, mchawi yupo ndani ya chama chenyewe.

Kuna usemi wa wahenga usemao "Kila lenye mwanzo lina mwisho wake", "Asiyesikia la mkuu huvunjika guu" na "Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Iddi". Haya kufikia mwezi October yataanza kudhihirika wazi kabisa.

Nihitimishe kwa kusema chama kitakacho kuja mbadala wa Chadema, na hili halina mjadala, kitatakiwa kujifunza kupitia makosa haya, kama kweli kitakuwa na nia ya kuleta mabadiliko ya kiuongozi nchini. Hata ikibidi kujifunza namna bora ya kuendesha chama kwa kuiga CCM kinavyoendeshwa.

Nakaribisha maoni tofauti na yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app

Ngoja mikutano ianze ndio utashangaa na hutoamini
 
Hali inavyojionyesha ni kwamba chama kikuu cha upinzani nchini chadema kimeporomoka sana umaarufu wake.

Ni imani yangu kinafuata njia iliopitwa na NCCR Mageuzi, TLP na CUF.

Hili limetokana na uongozi mbovu ngazi ya kitaifa, uongozi usiokubali makosa na kushaurika, mengi yamesemwa na wadau juu ya namna bora ya kukijenga na kukiimarisha, lakini mawazo hayo yalipuuzwa, na watoa maoni kushambuliwa kwa matusi na dhihaka nyingi, hivyo kuamua kukaa kimya kama watazamaji.

Kama ilivyo ada, mwanasiasa au mwananchi mfuasi wa chama chochote cha siasa huwa na malengo, kwake binafsi, kwa jamii inayomzunguka na taifa lake kwa ujumla. Malengo hayo yasipokuwa na dalili ya kutimia hutafuta namna nyingine ya kuyafikia.

Inavyoonekana, Chadema ishiriki, isishiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020, itaporomoka sana tu na kupoteza nafasi ya chama kikuu cha upinzani nchini.

Na hapa asitafutwe mchawi nje ya chama hiki, mchawi yupo ndani ya chama chenyewe.

Kuna usemi wa wahenga usemao "Kila lenye mwanzo lina mwisho wake", "Asiyesikia la mkuu huvunjika guu" na "Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Iddi". Haya kufikia mwezi October yataanza kudhihirika wazi kabisa.

Nihitimishe kwa kusema chama kitakacho kuja mbadala wa Chadema, na hili halina mjadala, kitatakiwa kujifunza kupitia makosa haya, kama kweli kitakuwa na nia ya kuleta mabadiliko ya kiuongozi nchini. Hata ikibidi kujifunza namna bora ya kuendesha chama kwa kuiga CCM kinavyoendeshwa.

Nakaribisha maoni tofauti na yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za wanalumumba hizo......

Hivi kama kweli CCM inaamini kuwa inakubalika mno na watanzania, ni kwanini iendelee kung'ang'ania kuwa na Tume ya uchaguzi, ambayo ina wanaccm wa kindakindaki?

Huko kuaminika wanakotuaminisha wanaccm ni artificial........

Pakiundwa Tume huru ya uchaguzi, CCM ni wepesi zaidi ya tissue paper!
 
Hali inavyojionyesha ni kwamba chama kikuu cha upinzani nchini chadema kimeporomoka sana umaarufu wake.

Ni imani yangu kinafuata njia iliopitwa na NCCR Mageuzi, TLP na CUF.

Hili limetokana na uongozi mbovu ngazi ya kitaifa, uongozi usiokubali makosa na kushaurika, mengi yamesemwa na wadau juu ya namna bora ya kukijenga na kukiimarisha, lakini mawazo hayo yalipuuzwa, na watoa maoni kushambuliwa kwa matusi na dhihaka nyingi, hivyo kuamua kukaa kimya kama watazamaji.

Kama ilivyo ada, mwanasiasa au mwananchi mfuasi wa chama chochote cha siasa huwa na malengo, kwake binafsi, kwa jamii inayomzunguka na taifa lake kwa ujumla. Malengo hayo yasipokuwa na dalili ya kutimia hutafuta namna nyingine ya kuyafikia.

Inavyoonekana, Chadema ishiriki, isishiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020, itaporomoka sana tu na kupoteza nafasi ya chama kikuu cha upinzani nchini.

Na hapa asitafutwe mchawi nje ya chama hiki, mchawi yupo ndani ya chama chenyewe.

Kuna usemi wa wahenga usemao "Kila lenye mwanzo lina mwisho wake", "Asiyesikia la mkuu huvunjika guu" na "Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Iddi". Haya kufikia mwezi October yataanza kudhihirika wazi kabisa.

Nihitimishe kwa kusema chama kitakacho kuja mbadala wa Chadema, na hili halina mjadala, kitatakiwa kujifunza kupitia makosa haya, kama kweli kitakuwa na nia ya kuleta mabadiliko ya kiuongozi nchini. Hata ikibidi kujifunza namna bora ya kuendesha chama kwa kuiga CCM kinavyoendeshwa.

Nakaribisha maoni tofauti na yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ili tuwadhobitishie kuwa tunakubalika tukubali kuunda tume Huru ya uchaguzi pia matokeo ya uraisi yapingwe mahakamani
 
Sijui kama utaeleweka kwa hao nyumbu
Hali inavyojionyesha ni kwamba chama kikuu cha upinzani nchini chadema kimeporomoka sana umaarufu wake.

Ni imani yangu kinafuata njia iliopitwa na NCCR Mageuzi, TLP na CUF.

Hili limetokana na uongozi mbovu ngazi ya kitaifa, uongozi usiokubali makosa na kushaurika, mengi yamesemwa na wadau juu ya namna bora ya kukijenga na kukiimarisha, lakini mawazo hayo yalipuuzwa, na watoa maoni kushambuliwa kwa matusi na dhihaka nyingi, hivyo kuamua kukaa kimya kama watazamaji.

Kama ilivyo ada, mwanasiasa au mwananchi mfuasi wa chama chochote cha siasa huwa na malengo, kwake binafsi, kwa jamii inayomzunguka na taifa lake kwa ujumla. Malengo hayo yasipokuwa na dalili ya kutimia hutafuta namna nyingine ya kuyafikia.

Inavyoonekana, Chadema ishiriki, isishiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020, itaporomoka sana tu na kupoteza nafasi ya chama kikuu cha upinzani nchini.

Na hapa asitafutwe mchawi nje ya chama hiki, mchawi yupo ndani ya chama chenyewe.

Kuna usemi wa wahenga usemao "Kila lenye mwanzo lina mwisho wake", "Asiyesikia la mkuu huvunjika guu" na "Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Iddi". Haya kufikia mwezi October yataanza kudhihirika wazi kabisa.

Nihitimishe kwa kusema chama kitakacho kuja mbadala wa Chadema, na hili halina mjadala, kitatakiwa kujifunza kupitia makosa haya, kama kweli kitakuwa na nia ya kuleta mabadiliko ya kiuongozi nchini. Hata ikibidi kujifunza namna bora ya kuendesha chama kwa kuiga CCM kinavyoendeshwa.

Nakaribisha maoni tofauti na yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom