Ukweli usemwe kuhusu Zitto.Z.Kabwe: Mzani wake wa siasa umezidia katika upande wa mazuri zaidi kuliko madhaifu

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,597
46,230
Nimesoma bandiko la mmoja wa member ninaowashimu sana humu JF akimzungumzia Zitto kwa 'Hisia' Hasi zaidi ningependa kumjibu yeye na wale wengine wanaomchukilia Zitto kwa hali hasi zaidi.
Kuhusu Zitto kujijenga zaidi mwenyewe.

Kila mwanasisia hupenda kujijenga yeye kwanza hivyo hiyo sio ishu ya maana,ishu ni anajijenga kwa namna gani,Zitto yeye ameamua kutumia uchambuzi makini wa uchumi,mipango na bajeti za serikali akitumia zaidi vizuri elimu yake na uzoefu wa kuiongoza kamati ya PA C kujenga hoja na kuikosoa serikali.

Kuhusu msimamo;Zitto anao msimamo,na kuthibitisha hilo huwezi kupata kauli au misimamo yake inayoonyesha kubadilika badilika kila mara,yuko consistent mpaka sasa,labda tusubiri huko mbeleni.

Kuhusu kununulika;Kununuliwa kwa Zitto ni propoganda dhaifu zisizo na uthibitisho wowote na zilizaliwa kutokana na ukaribu wake na JK na viongozi wengine wa CCM
Kuhusu safari yake kisiasa;Safari ya siasa kwa Zitto mpaka wakati huu ni excellent,ukiacha misuguano yake na Chadema(ambayo ni ya kawaida kabisa kutokea katika siasa),na kuthibitisha hilo amekuwa akishinda ubunge na chama alichokianzisha kinaipa Chadema changamoto mpya ya kujizatiti upya na kurekebisha makosa yake au kikubali kuona nafasi yake kama Chama pendwa nje ya ccm ikuchukuliwa na ACT.
Kwamba ACT ilitumika vibaya katika uchaguzi wa mwaka 2015 ni uongo wa mchana kweupe ukiangalia facts za mahesabu ya Kura,Mghwira wa ACT hakupata hata kura milioni 1 za urais hivyo hata kama Lowassa angezichukua hizo kura zote za ACT asengifika mahali,ushaidi unaonyesha UKAWA kushindwa kuachiana baadhi ya majimbo ndiko kulikochangia kushindwa ubunge kwa wagombea wake katika maeneo ambayo wangeshinda kirahisi mfano mzuri ni Segerea alikopoteza Mtatiro kwa kura chache kutokana na kugawana kura na mgombea wa Chadema.

Inawezekana usimpende au usizipinde aina ya siasa za Zitto zilozoelemea zaidi msimamo wa kati ,lakini huwezi kataa kwamba Zitto ni mmojawapo wa wanasiasa makini,mbobevu,anayejua kujenga hoja makini,anayejua wapi azungumze na wapi akae kimya kwa manufaa yake na taasisi aliyopo kwa wakati huo.

Tangu kuondoka kwa Tundu Lissu bungeni sauti ya Zitto bungeni ndio imekua ikichukua nafasi ya mbele katika safu ya upinzani kuonyesha madhaifu ya serikali kwa hoja makini iwe Korosho, ripoti ya CAG,SGR,Mbaazi n.k (haitoshi tu kuzungumza, mwanasisia makini ni yule anayejenga hoja, Zitto anajenga hoja).

Tumkosoe Zitto panapostahili,lakini tusimdogoshe, tuukubali ukweli kwamba yeye ni mojawapo ya 'political heavyweights' na mwanasiasa makini sana.

Angalizo:Natambua Zitto sio Malaika,lakini ni mzalendo.

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Nani alikuwa nyuma ya uanzishwaji ACT?
Malengo ya hiki chama katika awamu ya nne yalihitaji uwe na elimu gani kutambua?
Ikitokea u turn kuendana na malengo asilia utarudi hapa?
Ifike mahali hawa wanasiasa watuheshimu. Au walazimike kutuheshimu. JITAMBUE...
 
Kama vilivyo vyama vingine Unaweza kufuatilia mwenyewe nani walikuwa nyuma ya uanzishwaji wa chama hiki na malengo ya kuanzishwa kwao kwa kuifuatilia historia yao na kuisoma katiba yao.
Nani alikuwa nyuma ya uanzishwaji ACT?
Malengo ya hiki chama katika awamu ya nne yalihitaji uwe na elimu gani kutambua?
Ikitokea u turn kuendana na malengo asilia utarudi hapa?
Ifike mahali hawa wanasiasa watuheshimu. Au walazimike kutuheshimu. JITAMBUE...

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Kama vilivyo vyama vingine Unaweza kufuatilia mwenyewe nani walikuwa nyuma ya uanzishwaji wa chama hiki na malengo ya kuanzishwa kwao kwa kuifuatilia historia yao na kuisoma katiba yao.

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
Ndio maana wanasiasa wanawadharau. Kama wewe ni mwanasiasa, kesho yenu juu ya ardhi hii si nzuri hata kidogo.
 
Nani alikuwa nyuma ya uanzishwaji ACT?
Malengo ya hiki chama katika awamu ya nne yalihitaji uwe na elimu gani kutambua?
Ikitokea u turn kuendana na malengo asilia utarudi hapa?
Ifike mahali hawa wanasiasa watuheshimu. Au walazimike kutuheshimu. JITAMBUE...

Muda hubadili vitu vingi katika siasa. ACT na Zitto wa sasa wamesha-prove "Upinzani" wao beyond limit. Kama Mbowe na Chadema kwa ujumla wameshakuwa na imani naye kwa siasa anayoifanya na inayooneka kwa kila mtu, who are you to doubt him? Japo kuwa muda na mazingira vinaweza kubadili hali ilivyo huko mbele lakini ndo siasa. Kwa sasa Zitto ni mpinzani wa gvt ya ccm asiyetia shaka.


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Na zaidi wamesha-prove siasa zetu zinaweza kuwa za masuala zaidi kuliko kuzungumzia watu tu kama ndio wakombozi wetu.
Muda hubadili vitu vingi katika siasa. ACT na Zitto wa sasa wamesha-prove "Upinzani" wao beyond limit. Kama Mbowe na Chadema kwa ujumla wameshakuwa na imani naye kwa siasa anayoifanya na inayooneka kwa kila mtu, who are you to doubt him? Japo kuwa muda na mazingira vinaweza kubadili hali ilivyo huko mbele lakini ndo siasa. Kwa sasa Zitto ni mpinzani wa gvt ya ccm asiyetia shaka.


Sent from my iPhone using Tapatalk

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Nimesoma bandiko la mmoja wa member ninaowashimu sana humu JF akimzungumzia Zitto kwa 'Hisia' Hasi zaidi ningependa kumjibu yeye na wale wengine wanaomchukilia Zitto kwa hali hasi zaidi.
Kuhusu Zitto kujijenga zaidi mwenyewe.

Kila mwanasisia hupenda kujijenga yeye kwanza hivyo hiyo sio ishu ya maana,ishu ni anajijenga kwa namna gani,Zitto yeye ameamua kutumia uchambuzi makini wa uchumi,mipango na bajeti za serikali akitumia zaidi vizuri elimu yake na uzoefu wa kuiongoza kamati ya PA C kujenga hoja na kuikosoa serikali.

Kuhusu msimamo;Zitto anao msimamo,na kuthibitisha hilo huwezi kupata kauli au misimamo yake inayoonyesha kubadilika badilika kila mara,yuko consistent mpaka sasa,labda tusubiri huko mbeleni.

Kuhusu kununulika;Kununuliwa kwa Zitto ni propoganda dhaifu zisizo na uthibitisho wowote na zilizaliwa kutokana na ukaribu wake na JK na viongozi wengine wa CCM
Kuhusu safari yake kisiasa;Safari ya siasa kwa Zitto mpaka wakati huu ni excellent,ukiacha misuguano yake na Chadema(ambayo ni ya kawaida kabisa kutokea katika siasa),na kuthibitisha hilo amekuwa akishinda ubunge na chama alichokianzisha kinaipa Chadema changamoto mpya ya kujizatiti upya na kurekebisha makosa yake au kikubali kuona nafasi yake kama Chama pendwa nje ya ccm ikuchukuliwa na ACT.
Kwamba ACT ilitumika vibaya katika uchaguzi wa mwaka 2015 ni uongo wa mchana kweupe ukiangalia facts za mahesabu ya Kura,Mghwira wa ACT hakupata hata kura milioni 1 za urais hivyo hata kama Lowassa angezichukua hizo kura zote za ACT asengifika mahali,ushaidi unaonyesha UKAWA kushindwa kuachiana baadhi ya majimbo ndiko kulikochangia kushindwa ubunge kwa wagombea wake katika maeneo ambayo wangeshinda kirahisi mfano mzuri ni Segerea alikopoteza Mtatiro kwa kura chache kutokana na kugawana kura na mgombea wa Chadema.

Inawezekana usimpende au usizipinde aina ya siasa za Zitto zilozoelemea zaidi msimamo wa kati ,lakini huwezi kataa kwamba Zitto ni mmojawapo wa wanasiasa makini,mbobevu,anayejua kujenga hoja makini,anayejua wapi azungumze na wapi akae kimya kwa manufaa yake na taasisi aliyopo kwa wakati huo.

Tangu kuondoka kwa Tundu Lissu bungeni sauti ya Zitto bungeni ndio imekua ikichukua nafasi ya mbele katika safu ya upinzani kuonyesha madhaifu ya serikali kwa hoja makini iwe Korosho, ripoti ya CAG,SGR,Mbaazi n.k (haitoshi tu kuzungumza, mwanasisia makini ni yule anayejenga hoja, Zitto anajenga hoja).

Tumkosoe Zitto panapostahili,lakini tusimdogoshe, tuukubali ukweli kwamba yeye ni mojawapo ya 'political heavyweights' na mwanasiasa makini sana.

Angalizo:Natambua Zitto sio Malaika,lakini ni mzalendo.

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
UNAMUDA GANI KWENYE SIASA ZA TANZANIA?
UNA UMRI GANI KTK MAISHA DUNIANI
UNAWAJUA WANASIASA WA TANZANIA?
Utakuja na maswali,kwanini nimekuuliza.
Uwezo huu wa kisiasa na sifa ulizompa zito, ni kwakuwa cuf ya maalum seiff imejiunga na Act?
Umemsfia sana,kuliko ulivyotakiwa.
Yapo anayostahili,na hapo asiyostahili.
Hebu endelea kumfutilia zito na siasa zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemjua Zitto Tangu anaingia bungeni, Kama kuna asilostahili nililomsifia unaweza kulionyesha hapa tuende sawa.
UNAMUDA GANI KWENYE SIASA ZA TANZANIA?
UNA UMRI GANI KTK MAISHA DUNIANI
UNAWAJUA WANASIASA WA TANZANIA?
Utakuja na maswali,kwanini nimekuuliza.
Uwezo huu wa kisiasa na sifa ulizompa zito, ni kwakuwa cuf ya maalum seiff imejiunga na Act?
Umemsfia sana,kuliko ulivyotakiwa.
Yapo anayostahili,na hapo asiyostahili.
Hebu endelea kumfutilia zito na siasa zake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
UNAMUDA GANI KWENYE SIASA ZA TANZANIA?
UNA UMRI GANI KTK MAISHA DUNIANI
UNAWAJUA WANASIASA WA TANZANIA?
Utakuja na maswali,kwanini nimekuuliza.
Uwezo huu wa kisiasa na sifa ulizompa zito, ni kwakuwa cuf ya maalum seiff imejiunga na Act?
Umemsfia sana,kuliko ulivyotakiwa.
Yapo anayostahili,na hapo asiyostahili.
Hebu endelea kumfutilia zito na siasa zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Orodhesha tuyajue anayostahili kusifiwa na kutosifiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
chadema ni wapumbavu wanamuamini Mbowe aliemuuzia lowasa ugombea urais na kumfukuza dr. slaa kama mbwa
 
Mleta mada kaeleweka kama una wazo tofauti liweke.

Kwani hujaulizwa kama wewe ni ndugu au unamjuaje Zitto.

Ni lipi baya alilofanya Zitto kwa watanzania na lipi zuri alilofanya Kabwe kwa watanzania?


UNAMUDA GANI KWENYE SIASA ZA TANZANIA?
UNA UMRI GANI KTK MAISHA DUNIANI
UNAWAJUA WANASIASA WA TANZANIA?
Utakuja na maswali,kwanini nimekuuliza.
Uwezo huu wa kisiasa na sifa ulizompa zito, ni kwakuwa cuf ya maalum seiff imejiunga na Act?
Umemsfia sana,kuliko ulivyotakiwa.
Yapo anayostahili,na hapo asiyostahili.
Hebu endelea kumfutilia zito na siasa zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mfano ikatokea Tundu Lissu ni president na Zitto Kabwe ni Waziri mkuu hakika Tanzania ya viwanda tutaifikia by 2022...ila kwa style tuliyonayo hata tungepewa karne nzima tutarudi nineteen kweeeuusiii
Hawawezi kufanya kazi pamoja hawa watu
 
Orodhesha tuyajue anayostahili kusifiwa na kutosifiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
ASIYO STAHILI:
1 Hayupo kwa maslahi ya wange,ukimuona zito anajenga hoja kwa jambo fulani la kitaifa ujuwe kuna maslahi yake binafsi.
Eg, korosho, zito ana mashamba kusini.
Mbaazi nk.
2, Siyo kweli,
3,Hakawii kubadirika,hasa anapoona hapana tija binafsi hata kama kwa waliowengi lina tija

Unapotetea kuwa Act haikuanzishwa kwa malengo ya kugawa kura za upinzani eti hakuna uthibitisho.
Na kwa hanunuliki.
Ananunulika kirahisi na alinunulika kirahisi wakati wa uchangu 2015. Wenye akili wanalijua hili.
Kwani kununuliwa kwa slaa,lipumbavu,wabunge na MADIWANI wa upinzani kuna mtu aweza kuthibitisha? Lakini walinunuliwa.

Kama huyajui haya basi wakati huo kama hukuwa mdogo, basi ulikuwa huajawa na Uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo.
NAMKUBALI ZITO MAENEO MACHACHE SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHADEMA hawampendi Zito sijui aliwakosea nini
Kipindi wanamfukuza uanachama nia yao ilikuwa wamuondoe katika ulimwengu wa siasa lakini kwa mapenzi ya mungu hawakufanikiwa hadi Leo bado anashine
Sasa wamebakiwa na majungu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua Dr. Slaa alikuwa anapataje taarifa na nyaraka nyeti za siri kutoka serikalini wakati yeye akiwa Chadema?
Sijamalizia kusoma maana kitendo cha " alikuwa karbu na JK na viongoz wengne wa CCM " hakiitaji PHD kuelewa alichokuwa anafanya zitto

Sent using Jamii Forums mobile app

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Back
Top Bottom