Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,208
- 42,068
Wasalaam wanajamvi.......
Ni ukweli uliowazi muziki wetu umetwaliwa sana na matukio(kiki) na wanamuziki wetu wamekuwa wakitumia kiki hizo kusaidia kusukumu shughuli zao za kimuziki na kubaki kwenye midomo na vichwa vya mashabiki wao.
Mmoja ya watu ambao wamekuwa wakitumia kiki kusukuma mziki wake na shughuli zake za sanaa ni mwanamuziki Diamond Platinumz na Diamond aliwajenga wasanii wake wote wa WCB akiwemo Harmonize kuwa kiki inaweza ikawakuza zaidi ya nyimbo au mziki mzuri hivyo wasanii hawa wanaamini sana kewenye kiki kuliko muziki mzuri au kutengeneza kazi nzuri.
Hivyo hata baada ya Harmonize kujitoa WCB amekuwa akitumia kiki na muziki kupambana nao maana wanasema kama wimbo auendi basi piga kiki na bahati mbaya hawakujua kuwa watakuja kutengana.
Moja ya tabia waliyonayo WCB na Diamond nikupenda wasikike au kufatiliwa peke yao tuu ma si wasanii wengine sasa kitendo cha Harmonize na Kajala kutrend kuwazidi na kuendelea kupewa attention kiliwauma na kinawauma sana na ndio maana walimtumia Rayvany kujaribu kuzima kiki za Harmonize na Kajala lakini wakajikuta wanamuingiza kwenye matatizo makubwa bwana mdogo....
WCB na Diamond wanaamini wao ndio wana stahili tention za watanzania na si msanii mwingine hivyo hili la Harmonize kutamba Instagram linawatesa sana na wamejipanga kufanya vimbwanga vyovyote ili warudi kwenye chati ndio maana wamemvisha mitumbi mtoto wa khadija Kopa lakini bado haijasaidia na pia sasa hivi wanamtafuti Esma Platinumz mtoto amuoe ili wapate kurudi kwenye chati za instagram.
Hakika WCB Safari hii wamepata mbabe wao wa kiki ambae walimlea wenyewewe na sasa ana wasumbua sana.
Wasalaam
Ni ukweli uliowazi muziki wetu umetwaliwa sana na matukio(kiki) na wanamuziki wetu wamekuwa wakitumia kiki hizo kusaidia kusukumu shughuli zao za kimuziki na kubaki kwenye midomo na vichwa vya mashabiki wao.
Mmoja ya watu ambao wamekuwa wakitumia kiki kusukuma mziki wake na shughuli zake za sanaa ni mwanamuziki Diamond Platinumz na Diamond aliwajenga wasanii wake wote wa WCB akiwemo Harmonize kuwa kiki inaweza ikawakuza zaidi ya nyimbo au mziki mzuri hivyo wasanii hawa wanaamini sana kewenye kiki kuliko muziki mzuri au kutengeneza kazi nzuri.
Hivyo hata baada ya Harmonize kujitoa WCB amekuwa akitumia kiki na muziki kupambana nao maana wanasema kama wimbo auendi basi piga kiki na bahati mbaya hawakujua kuwa watakuja kutengana.
Moja ya tabia waliyonayo WCB na Diamond nikupenda wasikike au kufatiliwa peke yao tuu ma si wasanii wengine sasa kitendo cha Harmonize na Kajala kutrend kuwazidi na kuendelea kupewa attention kiliwauma na kinawauma sana na ndio maana walimtumia Rayvany kujaribu kuzima kiki za Harmonize na Kajala lakini wakajikuta wanamuingiza kwenye matatizo makubwa bwana mdogo....
WCB na Diamond wanaamini wao ndio wana stahili tention za watanzania na si msanii mwingine hivyo hili la Harmonize kutamba Instagram linawatesa sana na wamejipanga kufanya vimbwanga vyovyote ili warudi kwenye chati ndio maana wamemvisha mitumbi mtoto wa khadija Kopa lakini bado haijasaidia na pia sasa hivi wanamtafuti Esma Platinumz mtoto amuoe ili wapate kurudi kwenye chati za instagram.
Hakika WCB Safari hii wamepata mbabe wao wa kiki ambae walimlea wenyewewe na sasa ana wasumbua sana.
Wasalaam