Ukweli unaouma kuhusu Israel huu hapa!!!

Ukweli unaouma kuhusu Israel huu hapa!!!

Najua unaumia sana unaposoma habari hizi kwa taarifa yako tu nitaendelea kufanya hivyo mpaka na wewe Unye mavi Mbwa wewe!!
Wewe nguruwe mwitu hizo habari zako hazina mashiko yoyote, hawa mabasha zako wayahudi tunajua kazi yao kubwa ni kuua wanawake na watoto, mwaka wa pili huu wameshindwa kuokoa mateka wao kutoka kwa wanamgambo wa Hamas, zingatia neno wanamgambo sio jeshi, tena kaeneo kenyewe kadogo tu ka Gaza kina fensi kila kona.
 
wayahudi tunajua kazi yao kubwa ni kuua wanawake na watoto,
Wakati wanauwawa wanawake na watoto wanaume daima wanakuwa wapi? Au mabomu ya wayahudi yanawalenga wanawake na watoto tu wanaume yanawakwepa?
mwaka wa pili huu wameshindwa kuokoa mateka wao kutoka kwa wanamgambo wa Hamas,
Ngoja nikupe darasa kidogo Oct 2023 magaidi wa Hamas waliua watu 1,200 na kuteka nyara watu 251 na mpaka sasa hivi tunapoongea wamebaki mateka 58 tu kwa sababu wewe ni zuzu unasema wameshindwa kuokoa mateka wao. Najua siku ukijitambua utajua ukweli!!!
Wewe nguruwe mwitu hizo habari zako hazina mashiko yoyote, hawa mabasha zako
Kwa taarifa yako tu Mimi si Level yako kwa hiyo hayo matusi yako peleka kwa watu wa Level yako naona mnaweza kuelewana huko!!!
 
Wayahudi ukoo wa Yakobo aliyemfanyia hila kaka yake wa damu ili abarikiwe yeye, rudia hapo kaka yake wa damu! Kwa mchong mkali na mama yake baba aliumia sana hivi kizazi iko linatembea kama laana tu mtu anayeweza kuifanyia ubaya wa kumpoka nduguye vipi asiye nduguye? Ndio laana mpaka leo anadiriki mauaji ili apoke ardhi lakini kilichoharibika ni sawa na maji yakimwagika hata ukiikamua vipi ardhi kwa yale yale maji hutajaza ndoo tena. It's over stay in this mess circled till Doom's day..
 
Wewe nguruwe mwitu hizo habari zako hazina mashiko yoyote, hawa mabasha zako wayahudi tunajua kazi yao kubwa ni kuua wanawake na watoto, mwaka wa pili huu wameshindwa kuokoa mateka wao kutoka kwa wanamgambo wa Hamas, zingatia neno wanamgambo sio jeshi, tena kaeneo kenyewe kadogo tu ka Gaza kina fensi kila kona.
Mkuu, mbona unaumia bila reaction!

Chukua hatua, kasdidie kazi mkuu
 
Kwani wewe ni mwanamke??? Naona umeimba kama mipasho hivi, kama ni ke nijuze tafadhali maana mgaagaa na upwa.....
Niambie umeumia sehemu gani ya mwili wako? Baada ya kupata taarifa hiyo??
 
Back
Top Bottom