Ukweli unaofichwa na wengi wetu,soma kisa hiki

Ukweli unaofichwa na wengi wetu,soma kisa hiki

king majah

Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
61
Reaction score
50
NIMECOPY NA KUPASTE
Kundi la kinamama waliolewa walikuana na mwanasaikojia,akawauliza ni lini mara ya miwsho kumwambia mmeo unampenda?
wengi wakajibu leo asubuhi,wengine jana usiku
Mwana saikolojia akasema,aya andika ujumbe huu'NAKUPENDA MUME WANGU' kisha mtumie mume wako sasa hivi..
baada ya kutuma akawaambia haya badilishaneni simu na kila mtu asome ujumbe utakaorejeshwa
marejesho yalikuwa hivi
1.Vipi unaumwa?
2.Sikuelewi nini unamaanisha?
3.Eh umefanya kosa gani leo tena?sasa sintokusamehe
4.Hebu acha kuzungu niambia unashida gani?
5.Hivi leo naota au?
6.Leo nikirudi lazima uniambie hii meseji ulikuwa unamtumia nani?
7.Umeanza tena kunywa pombe?
8.Samahani mke wangu leo sina pesa
9.Nani mwenzangu?
JE UNADHANI WAMAMA HAWA NI KWELI MARA YA MWISHO KUWAAMBIA WAME ZAO NENO NAKUPENDA NI LEO ASUBUHI AU JANA???
 
ndo maisha ya familia au ndoa nying za hku kwetu maneno mazur htoka pale panapokua na shda
 
Hii siyo hadithi bali ni hali halisi ya wanandoa walio wengi. Wanawake walio wengi wakiishaingia kwenye mkataba wa ndoa na kukuta yale matarajio yake hayatekelezeki kutokana na sababu mbalimbali hujenga chuki na upendo humwishia na kubaki kuishi kwa mazoea tu kwa kuwa anaona aibu ya kumwacha mmewe.
Yapo mengi na ya kutisha zaidi ya myajuayo kwenye ndoa na ukitaka kuyajua oa. Hili ni tatizo la kidunia zaidi.
 
Thread murua ya mmu! Pruner please, repost this to mmu!
 
Last edited by a moderator:
hii mada sio kwa wanawake tu hata kwa wanaume hebu mujaribu kuwatumia wake zenu huo ujumbe muone majibu yake! lo
 
Kaazi kwelikweli,lakini kwenye ndoa kuna mengi sana waliopo wanajua na ambao hawapo ingieni muone.
 
Ukiona SMS nakupenda ujue ndani ya saa 12 kuna kizinga kinakuja.
 
  • Thanks
Reactions: Kig
"Ndoa, taasisi ambayo baadhi walioko ndani wanatamani kutoka na walioko nje wanatamani kuingia!"
 
Uwiiii kila leo mna prove it right ile thread ya Lara1......... Ndoa taasisi ya kinafiki!
 
ndoa ndoano.

kwenye michepuko neo nakupenda ni kila baada ya dakika 10.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom