uvugizi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,348
- 1,097
.
Mtu anapokunywa pombe anahisi kujisikia raha Fulani , hata kuhisi kujiamini zaidi na mambo kama hayo , kunakomfanya asahau hata madhara yake.
Madhara ya pombe ni mengi mno, mfano ubongo kutiratibu vuzuri mambo ya fikra , poor judgements, mfadhaiko, hypothermia , kutapika tapika au kichefu chefu , kutopumua vizuri , kifafa cha pombe , kuchanganyikiwa , hasira na kushindwa kujipangilia .
Pombe unapokunywa 33% inaingia moja kwa moja katika damu kupitia kuta za utumbo mwembamba na mpana , na katika tissue zote za kibayolojia za mwili. Pombe inaingia haraka sana katika Mwili ( damu) na hapo kwa kadri unavyoongeza kiwango BAL yake inaongezeka ( BLOOD ALCOHOL LEVEL).
Madhara ya BAL kuongezeka ni mengi , kubwa ni kupungua uwezo kuchakata taarifa za vitu vinavyotembea na impaired vision / perceptions. Laws enforcers ( traffic police) duniani na hapa kwetu Tanzania wanasimamia hili la blood alcohol concentration kwa kutumia kifaa maalum kinachoitwa BREATHALYZER.
Kuwepo kwa alcohol nyingi katika damu ( BAL) kuna madhara makubwa kuliko watu wanavyofikiri . blood alcohol level ikizidi na kuzoea mwili , automatically wewe ni Mgonjwa wa pombe una ALCOHOLISM.. yaani unakuwa tena huwezi kudhibiti pombe ila pombe inakudhibiti wewe.
Katika Mwili wa mwanadamu kuna kitu kinaitwa GLUTATHIONE ( GSH),,,, hii ni antioxidant ya mwilini yaani ni chemical inayofanya mwili usidhurike na OXIDATION ,,, Mchakato wa oxygen katika mwili wetu . oxygen ina mazuri na mabaya yake kisayansi .
GLUTATHIONE ( GSH) ni kitu muhimu sana katika mwili wetu , mfano ..... Ndiyo inayofanya cell za mwili kugawanyika na kustawi vizuri mwilini kuepusha hata cancer, ,,,, kurepair na kulinda mfumo wa DNA,,,Kudhibiti kiasi cha protini na kusafirisha Amino acid vizuri .
GLUTATHIONE, ndiyo enzymes catalysis mechanism , yaani umeng'enywaji wa chakula unafikiwa vizuri GSH ikiwa safi.
GSH , inapambana na sumu zote zisizohitajika ( metabolisms of xenobiotics)
GSH inachakata hydrogen peroxide( H202), kama antioxidant kufanya Maji yeyote unywayo yasikuletee madhara .
Kwa ujumla madhara ni mengi kama mwili ukikosa GLUTATHIONE ( GSH) .
sasa kitu kinachofanyika katika Mwili wako ukinywa pombe ni kuwa GLUTATHIONE ( GSH) Inaondoka kabisa , hivyo kuuacha Mwili na maangamizi ya magonjwa mbalimbali, ambayo hata hospitality zetu hawajui pakuanzia kwani wanaacha msingi wa tatizo .
Mshangao wangu mkubwa ni kuwa kiasi kidogo cha GLUTATHIONE , huwa kinaoneka kwa wagonjwa wa UKIMWI na walevi wenye high BLOOD ALCOHOL LEVEL ..
Kama mtu wa kiroho biblia imeonya sana kuhusu pombe
Refer Mithali 20:1,, 21:17,,,:23:29-35 na Mithali 31:4
Paulo pia aliwaonya watakatifu kuhusu pombe waefeso 5:18 .
Be inspired
Mtu anapokunywa pombe anahisi kujisikia raha Fulani , hata kuhisi kujiamini zaidi na mambo kama hayo , kunakomfanya asahau hata madhara yake.
Madhara ya pombe ni mengi mno, mfano ubongo kutiratibu vuzuri mambo ya fikra , poor judgements, mfadhaiko, hypothermia , kutapika tapika au kichefu chefu , kutopumua vizuri , kifafa cha pombe , kuchanganyikiwa , hasira na kushindwa kujipangilia .
Pombe unapokunywa 33% inaingia moja kwa moja katika damu kupitia kuta za utumbo mwembamba na mpana , na katika tissue zote za kibayolojia za mwili. Pombe inaingia haraka sana katika Mwili ( damu) na hapo kwa kadri unavyoongeza kiwango BAL yake inaongezeka ( BLOOD ALCOHOL LEVEL).
Madhara ya BAL kuongezeka ni mengi , kubwa ni kupungua uwezo kuchakata taarifa za vitu vinavyotembea na impaired vision / perceptions. Laws enforcers ( traffic police) duniani na hapa kwetu Tanzania wanasimamia hili la blood alcohol concentration kwa kutumia kifaa maalum kinachoitwa BREATHALYZER.
Kuwepo kwa alcohol nyingi katika damu ( BAL) kuna madhara makubwa kuliko watu wanavyofikiri . blood alcohol level ikizidi na kuzoea mwili , automatically wewe ni Mgonjwa wa pombe una ALCOHOLISM.. yaani unakuwa tena huwezi kudhibiti pombe ila pombe inakudhibiti wewe.
Katika Mwili wa mwanadamu kuna kitu kinaitwa GLUTATHIONE ( GSH),,,, hii ni antioxidant ya mwilini yaani ni chemical inayofanya mwili usidhurike na OXIDATION ,,, Mchakato wa oxygen katika mwili wetu . oxygen ina mazuri na mabaya yake kisayansi .
GLUTATHIONE ( GSH) ni kitu muhimu sana katika mwili wetu , mfano ..... Ndiyo inayofanya cell za mwili kugawanyika na kustawi vizuri mwilini kuepusha hata cancer, ,,,, kurepair na kulinda mfumo wa DNA,,,Kudhibiti kiasi cha protini na kusafirisha Amino acid vizuri .
GLUTATHIONE, ndiyo enzymes catalysis mechanism , yaani umeng'enywaji wa chakula unafikiwa vizuri GSH ikiwa safi.
GSH , inapambana na sumu zote zisizohitajika ( metabolisms of xenobiotics)
GSH inachakata hydrogen peroxide( H202), kama antioxidant kufanya Maji yeyote unywayo yasikuletee madhara .
Kwa ujumla madhara ni mengi kama mwili ukikosa GLUTATHIONE ( GSH) .
sasa kitu kinachofanyika katika Mwili wako ukinywa pombe ni kuwa GLUTATHIONE ( GSH) Inaondoka kabisa , hivyo kuuacha Mwili na maangamizi ya magonjwa mbalimbali, ambayo hata hospitality zetu hawajui pakuanzia kwani wanaacha msingi wa tatizo .
Mshangao wangu mkubwa ni kuwa kiasi kidogo cha GLUTATHIONE , huwa kinaoneka kwa wagonjwa wa UKIMWI na walevi wenye high BLOOD ALCOHOL LEVEL ..
Kama mtu wa kiroho biblia imeonya sana kuhusu pombe
Refer Mithali 20:1,, 21:17,,,:23:29-35 na Mithali 31:4
Paulo pia aliwaonya watakatifu kuhusu pombe waefeso 5:18 .
Be inspired

