Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,561
Tangu niko mdogo nimekuwa nikisikia kwamba maji ya bahari ya Hindi huwa yanasafiri kiasi kwamba mtu unaweza kuingia baharini kuchukua baadhi ya vito pasipo maji kuwepo.
Kwa bahati mbaya sijawahi kuona kwa macho yangu hicho kitu.
Naombeni wataalumu mnisaidie kujibu haya maswali;
1.Hili tukio ni kweli maji huwa yanaafiri au yanapungua?
2.Kama yanasafiri huwa yanakwenda wapi?Na huchukua muda gani?
3.Ina uhusiano na imani za kishirikina au majini?
4.Inatokea bahari zote au hii ya kwetu pekee?
Kwa bahati mbaya sijawahi kuona kwa macho yangu hicho kitu.
Naombeni wataalumu mnisaidie kujibu haya maswali;
1.Hili tukio ni kweli maji huwa yanaafiri au yanapungua?
2.Kama yanasafiri huwa yanakwenda wapi?Na huchukua muda gani?
3.Ina uhusiano na imani za kishirikina au majini?
4.Inatokea bahari zote au hii ya kwetu pekee?