kkarumekenge
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 1,708
- 1,026
Kuna habari, tena kutoka huko Serengeti kwamba Faru John aliuawa na Tembo, leo tunaambiwa aliugua. Ukweli wa Faru John utajulikana tu pale wananchi na wafanyakazi katika eneo hilo watahojiwa. Wana ukweli juu ya suala hili. Hebu tuwekeni sawa.